Inside10
Platinum Member
- May 20, 2011
- 34,738
- 42,830
Huu uzi siyo wa Bavicha nakushari ungekuwa msomaji tu kuliko kujidhalilisha.
hivi kwanini ww unamatatzo sana
Huu uzi siyo wa Bavicha nakushari ungekuwa msomaji tu kuliko kujidhalilisha.
brotherhood hawatofautiani sana na chadede, wote wapo kwa maslahi yao tu,
baada ya kuiweka/kujiweka by means of rigging mbona majority kwa sasa hawaitaki tena?!Sijui mie naona wameiweka madarakani iwaongoze.
Hivi mnajua kuwa kuna watu milioni 22 waliosaini petition ya kumkataa Morsi?
baada ya kuiweka/kujiweka by means of rigging mbona majority kwa sasa hawaitaki tena?!
You are just a NINCOMPOOP, no difference from a DONKEY!!
Hawa waarabu wapuuzi sana wameacha kujitawala kwa sheria za kiislamu pamoja na uwepo wa waislamu asilimia 95 wanaendelea kujifanya waijua demokrasia wakati ndani ya demokrasia hamna haki hata kidogo.
Huu uzi siyo wa Bavicha nakushari ungekuwa msomaji tu kuliko kujidhalilisha.
Kwani Morsi alipata kura ngapi wakati anachukuwa kiti cha Urais?
hivi kwanini ww unamatatzo sana
Tukisema kilichotokea leo ni military coup siyo kama tuna-igonre efforts za Wamisri walioshinikiza mpaka haya kutokea?
Could this be a mixture of popular revolution and military coup? Or something else? http://www.harvardilj.org/wp-content/uploads/2010/05/HLI203.pdf
Nadhani hamtakaa muelewane hapo hata umueleweshe miaka 100.Sikukuuliza mapinduzi ya kijeshi Misri yalianza mwaka gani.
Nimekuuliza yaliyotokea leo na mwaka 2011 ni military coups?
Siasa za Misri wanazijua wao hata sijui huwa wanataka nini toka enzi za kina Sadat.
Hatimaye Rais wa Misri ndugu Mohamed Morsi amepinduliwa na jeshi la nchi hiyo,Jeshi limesitisha katiba na kumvua madaraka rais huyo,Limetangaza mwanasheria mkuu kuchukua wadhifa huo kwa muda,
source:Aljazeera,Press Tv,BBC World,DW
Sio mwanasheria mkuu, umetafsiri vibaya.Ndugu wanajf.
Kuna taarifa kuwa Jeshi la nchi ya Misri limemvua madaraka Rais na kutangaza kuwa Mwanasheria mkuu atashika hatamu za uongozi kwa sasa
Yeyote mwenye taarifa kamili atuhabarishe tafadhali..
WAPI TANZANIA???????
13,230,131
Uongozi ni adhabu.
Ndiyo 52% ushindi wa Brotherhood?