Jeshi la wananchi Egypt lampindua Rais Morsi

Jeshi la wananchi Egypt lampindua Rais Morsi

kazi ipo mambo ya misri hayo awapendi ujinga ujinga.chukulia awa wa hapa home ndio wangekuwa kule, dunia ingewatambua.
 
Muslim brotherhood na ring leader wao morsi ni vichaa walifikiri ikulu ni sehemu ya kwenda kukariri aya ikulu ni kuleta mandeleo kwa wananchi.

LET THE BEARDED FOOLS GO TO HELL NOW
 
Al Jazeera English just reported that Morsi's whereabouts are unknown at this point.

Sasa wanasema kuna conflicting reports about his whereabouts.

What do you think: is the Egyptian army becoming too political?

Or does this simply mean the fact that something is legal does not necessarily mean it is legitimate?
 
kwa sasa vifaru vya kiteshi vimepelekwa cairo karibu na tahiriri square yalipo maandamo wakati wananchi wakisubiri tangazo la kijeshi baada ya muda waliompa rais morsi kupita bila kufanya chochote.
 
Sasa wanasema kuna conflicting reports about his whereabouts.

What do you think: is the Egyptian army becoming too political?

Or does this simply mean the fact that something is legal does not necessarily mean it is legitimate?

I'd agree with the US government's statement that democracy is not just about winning elections. It's also about how you treat the opposition.

But I'd also add that just because you won the election which gave you legitimacy, you can lose that legitimacy by virtue of your actions.

The Egyptian military didn't start this recent round of opposition.
 
Egyptian President Mohamed Morsy "no longer a part of the decision-making circle," state-run newspaper reports.

Kutoka CNN
 
natamani kuwa mmisri maana jamaa hawana simile naangalia aljazeera morsi hana muda anapinduliwa
 
Serikali ya Syria nayo imeingia kwenye kutoa tamko la kumtaka raisi Mohamed Mursi ajiuzuru na apishe.

Mursi alikuwa anatuhumiwa kuhusika na kuunga mkono vita na kuchochea vurugu zinazotokea nchini Syria.

Mursi pia alitoa uamuzi wa kufunga ubalozi wa Misri nchini Syria.

Souce: AP
 
morsi kadri muda unavyosogea kupinduliwa anasrna yuko wazi kuwa na serikali ya umoja na wapinzani
ngoja tuone meisho wa game
 
Egyptian President Mohamed Morsy "no longer a part of the decision-making circle," state-run newspaper reports.

Kutoka CNN

And, Gehad ElHaddad, a spokesperson for the Muslim Brotherhood and senior adviser to Freedom & Justice Party, has told Al Jazeera that 'a full military coup is underway.'

Haddad said 'tanks are on the move around the outskirts of Cairo' and that 'some high ranking members of the Brotherhood have been arrested.'

Haddad told Al Jazeera and that communication with President Morsi has been cut off so he cannot confirm or deny if he was moved from the Republican Guard HQ.
 
kwa sasa vifaru vya kjeshi
vimepelekwa cairo karibu na tahiriri square yalipo maandamo wakati
wananchi wakisubiri tangazo la kijeshi baada ya muda waliompa rais morsi
kupita bila kufanya chochote.kwa sasa maafisa wakuu wa kijeshi wameitisha kikao cha dharaura wanajadiliana ili waweze kutoa muelekeo wa kisiasa.
source:aljazeera.
 
Siasa na utawala ni mambo ya kushangaza. Hakuna chama kilichoaminiwa wakati wa Mubarak Kama Muslim Brotherhood.
Leo wanaonekana kama maadui wa Taifa. Nafikiri hawakujua Wananchi wanataka nini nao wafanye nini!
 
Kazi ya jeshi ni kulinda wananchi si maslahi ya watawala!!
 
Siasa na utawala ni mambo ya kushangaza. Hakuna chama kilichoaminiwa wakati wa Mubarak Kama Muslim Brotherhood.
Leo wanaonekana kama maadui wa Taifa. Nafikiri hawakujua Wananchi wanataka nini nao wafanye nini!

Residents in a Cairo neighbourhood told the BBC's Jeremy Bowen they would prefer to have former President Hosni Mubarak back in power. "It's because back then we were safe!" said one. Read the full story here
 
Jioni hii huko jiji la Cairo kumeharibika, wanajeshi wamejaa ndani ya jiji wakiwa na vifaru na magari ya kivita pia wamefunga barabara zote za kuingia na kutoka Cairo, hii ni baada ya Morsi kukaidi agizo la jeshi.
 
hata kwetu inafaa iwe hivo
tatizo jeshi limekuwa mali ya CCM badala ya kuwa mali ya umma.
Mkuu wa majeshi tanzania upo?
ona wenzio wanavojua kazi zao bila kujikomba komba kwa rais..

...weeeee mwenzio unataka akose ubalozi akistaafu
 
Back
Top Bottom