Chibolo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 5,768
- 8,039
Hili ndo jeshi linalojua majukumu yake
hili ndilo jeshi la wananchi linaskiliza na kufuata matakwa ya wananchi.
Hili ndo jeshi linalojua majukumu yake
Hawa waarabu wapuuzi sana wameacha kujitawala kwa sheria za kiislamu pamoja na uwepo wa waislamu asilimia 95 wanaendelea kujifanya waijua demokrasia wakati ndani ya demokrasia hamna haki hata kidogo.
Kuichukua tv ya taifa haitoshi...yaani napiga picha JWTZ ikaichukue TBC...its too low..wakaichukue white houce kabisa na yule MORSI wamuweke under arrest...hapo itakuwa pouwa sana
hili ndilo jeshi la wananchi linaskiliza na kufuata matakwa ya wananchi.
Kuichukua tv ya taifa haitoshi...yaani napiga picha JWTZ ikaichukue TBC...its too low..wakaichukue white houce kabisa na yule MORSI wamuweke under arrest...hapo itakuwa pouwa sana
What if Morsy akikomaa?
Si waliuondosha utawala uliopita kwa mbwembwe sasa kuna nini tena..!! na huyu hawamtaki na anaekuja hawatamtaka.. hadi kiama kitasimama.. ------..
Siasa za Misri wanazijua wao hata sijui huwa wanataka nini toka enzi za kina Sadat.