Jeshi la wananchi Egypt lampindua Rais Morsi

Jeshi la wananchi Egypt lampindua Rais Morsi

Absolutely; nadhani watu wanasahau tu kuwa mapinduzi ni njia pia ya kuleta utawala; lakini ni njia ya mwisho. Mapinduzi yanaweza kuwa ya watu (popular revolution) au ya kijeshi (military). Na yote hayo yanaweza kuwa ya damu au ya kutokumwaga damu. Mapinduzi yaliyomuondoa Mubarak yalikuwa ni ya watu na hayakuwa na umwagikaji damu; haya ni ya jeshi na so far hakuna umwagikaji damu.

Mapinduzi ya jeshi hasa yanapofanyika kwa kumwaga damu damu inamwagika kwelikweli. Hata hivyo katika hili jeshi halikwenda hatua zote za kinadharia za kufanya mapinduzi. Limempa mtawala nafasi kubwa ya kujirekebisha na akakataa; hata leo hii hili haikuwa lazima kama Morsi angekuwa na hekima ya kusikiliza na kusoma alama. Watu wengi wanafikiria - kwa makosa - kuwa kwa vile mtu kachaguliwa na wengi basi anaweza kufanya lolote, popote na kwa vyovyote bila kujali maslahi na madai ya minority group. Hili ndio kosa la Morsi na la viongozi wengine wengi ambao walijikuta wanalazimishwa kutoka madarakani kwa mapinduzi.

Kuchaguliwa tu hakukufanyi uwe wa demokrasia. Jinsi gan iunatawala na jinsi gani unalinda maslahi ya minority group
.
hicho kipande chenye red nimekipenda sana mkuu wangu.
 
Sovereinity ya namna hiyo sidhani kama inaweza kuleta maendeleo..!! mtu hata hajakaa vizuri madarakani, wanamuondoa.. walitegemea awajazie mamilioni ya fedha ndani ya wiki moja..!! wale jamaa ni wagumu kuwatawala bado akili zao zina ufirauni kidogo..
Misri inahitaji kiongozi mwenye udikteta ndani yake, ukiwaachia free wale watu, wanakupanda hadi juu ya kichwa. Nafuu ya bongo yetu uchaguzi ukiisha kila mmoja anashika nafasi yake kutafuta maendeleo...

Kwa nini isilete maendeleo? Vipi wale ambao wameachwa na kukaa madarakani kwa miaka kumi wameleta maendeleo gani?

Mambo ya kusubiri mpaka miaka mitano imalizike haina mpango. Otherwise, ndiyo maana unakuta watu akiupata ubunge tuu wanahama mpaka majimboni mwao kwa sababu wanajua wapiga kura hawawezi kuwafanya chochote mpaka miaka mitano imalizike.

Waliokuchagua wana haki ya kukuondoa muda wowote kama hu-perform kwa mujibu wa matakwa yao. Kama vipi basi usigombee kupigiwa kura.

In future nchi zitakuwa zinaendeshwa kama kampuni. If you don't perform according to the agreed standards, kama hutafikia targets ambazo mmejiwekea kuachieve kila mwaka, then you have to go.

BTW kwanza kasome ujue ni kwa nini Wamisri wengi wamemkataa Morsi mapema hivyo. Inaonekana kama vile hujui kilichokuwa kinaendelea.
 
EMT tatizo the Egyptian people seem to want change overnight , it takes generations to change a country so fundumentaly , the guy he has been in power for a year only! ...

sintoshangaa wanafanya democratic election again , watachagua wamtakaye after 10months wataanza tena maandamano
 
extremists wengi wana ujinga wa kuiona dunia kwa makengeza....hudhani kwamba ni lazima watu wote wakubaliane na fikra zao.

i wonder kama kuna kufa na kuhukumiwa na kwamba kuna pepo na moto, ni vipi mtu ataraji watu wote walazimike kufuata system moja, si ni wazi uwepo wa vitu hivyo maana yake watu watofautiane ili wawepo wa motoni na peponi?

Morsi is an extremist na pamoja na usomi wake lakini naye ana ujinga ule ule wa kudhani ukishinda basi stahiki ni kuburuza watu wote utakavyo...demokrasi ni pamoja na kuheshimu mawazo na fikra za wachache siyo kwa vile ni the winner takes all basi wachache wasiwe na sauti....

Anavuna matunda ya ujivuni na kujiskia...WHAT A SHAME!!!

He is in the mid of the shit he has created....kama tunashindwa kujifunza kuwaona wengine na mahitaji yao, wao wanategemea nini?
 
130705103333-02-egypt-0705-horizontal-gallery.jpg
 
Tusubiri kuiona misri kama iraq, sababu raisi morsi bado anakubalika na watu wengi ukilinganisha na wanaompinga
 
Nchi yetu Tz haina rais bali ina picha ya rais, kwa nini jeshi letu nalo lisichukue nchi kwa mapinduzi?
 
Tatizo sisi majeneral rais anachagua maswahba zake mbumbu...wanajua kufanya ya mtwala tu
 
Nchi yetu Tz haina rais bali ina picha ya rais, kwa nini jeshi letu nalo lisichukue nchi kwa mapinduzi?

jeshi lenyewe limejaa wapiga dili za sukari, sembe, cement na mazaga zaga mengine kibao, jenerali anafuga ng'ombe wa maziwa na ana tenda kuuza maziwa kwenye kambi ya jeshi unategemea nini hapo...!!!???
 
jeshi lenyewe limejaa wapiga dili za sukari, sembe, cement na mazaga zaga mengine kibao, jenerali anafuga ng'ombe wa maziwa na ana tenda kuuza maziwa kwenye kambi ya jeshi unategemea nini hapo...!!!???
 
Jamani mapinduzi kijeshi sio mazuri sana nchi zetu hizi tunategemea tutoke ndio tule miaka 60 uhuru bado tuna kaya masikini saba mlo mmoja tu hawawezi .....bado tuna safari ndefu
 
Back
Top Bottom