EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,347
Siasa za Misri wanazijua wao hata sijui huwa wanataka nini toka enzi za kina Sadat.
Kama wewe hujui wanachokitaka wao watakuwa wanajua.
Kama sie wenyewe hata hatujui tunachokitaka nchini mwetu tutajuaje wanachotaka watu wengine kwenye nchi zao?