Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,819
- 9,171
Mzee wa Milembe ni nani?
Hahaha Mzee wa Mirembe Dodoma - Mkuu NDUGAI mzee wa kupiga watu BAKORA.
Mzee wa Milembe ni nani?
Mfumo wa undeshaji shuguli za kijamii unamlazimisha Mtendwaji afanye shuguli zake vile wewe unavyotendwa.Ukiwa unaendesha shuguli zako kwa kibri na fitina na wenzako watakufanyia vivyo hivyo. Tegemea mengi ya kumdhalilisha Mbowe kwani yeye ndivyo anavyo wafanyia wenzake.Mwanzoni nilijua kuwa mtu ndo anatakiwa kuwa na hofu na serikali. Lakini serikali saiv ndo ina hofu na watu.
Mawazo hayajawahi kupelekwa Osterbay - Nyerere
Sent using Jamii Forums mobile app
siku 14 zimeisha tayari wewe popomaHuyu Mbowe si alisema yupo karantini Dodoma?Spika Ndugai yupo sahihi hatuwezi kulipa matapeli wa kisiasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Geuza kinyume chake sasa ... !!!Mbowe ni msanii tu.......alishajua atakamatwa na polisi kufuatia lile agizo la RC Makonda.
Kama kweli angekuwa na hoja za kuongea mkutano angeufanyia Dodoma!
Mbowe anaihujumu Chadema ili ipoteze ushawishi na yeye aendelee kuimiliki kama chama cha " mfukoni" namna ilivyo UDP na TLP!
Yaani hujui tofauti ya muigizaji na mtawala wa nchi! Nikusaidieje ili kuongeza uelewa?Kwanini nae asiitwe na polisi kwa mahojiano?
Sasa kwanini muliruhusu vyama mbadala au mlikuwa mnawadanganya wafadhili?Yaani hujui tofauti ya muigizaji na mtawala wa nchi! Nikusaidieje ili kuongeza uelewa?
Boss sina la kukusaidia maana naona uko mbingu nyingine!Sasa kwanini muliruhusu vyama mbadala au mlikuwa mnawadanganya wafadhili?
Sasa kwenda kinyume na katiba na sheria eti kuwa ni chama tawala?Boss sina la kukusaidia maana naona uko mbingu nyingine!
Vyama vingine walioruhusiwa kwani waliambiwa nao wanatawala nchi? Mwambieni asubili awe rais ndo atoe hotuba za kitaifa. Sasa hivi ahutubie wanachama wake, Tafadhari!
Makene sasa anafanyaje mkutano na ili hali yuko karantini? si a rekodi tu video aturushie
Hata Meko naye yuko karantini Chato ...teh teh tehHuyu Mbowe si alisema yupo karantini Dodoma?Spika Ndugai yupo sahihi hatuwezi kulipa matapeli wa kisiasa
Sent using Jamii Forums mobile app
yani naitafutaga comment yako tuChadema kwa kuvunja sheria hawajambo
Hapajaharibika kitu.Wewe ukiambiwa unatakiwa kuripoti polisi sasa hivi utaendelea na mkutano? Tupo kwenye uongozi mbovu sana wa nchi na inabidi watu waombe Mungu sana manake tunaelekea sipo.
Si umeona mpaka jioni hii polisi wameshindwa kusema kwanini wamemzuia kamanda Mbowe asifanye mkutano na waandishi wa habari. Kweli magu mwoga wa CDM. Kitajulikana tu peoples..............!Hapajaharibika kitu.
Si akitoka huko polisi ataanda mkutano mwingine ili awasilishe ujumbe, kwani haraka ni ya nini!
Mhimu ni ujumbe anaotaka kuwafikishia wananchi aufikishe.
Polisi wakiendelea kuzuia, itafahamika ni kusudio la kuzuia ujumbe usifike kwa wananchi. Hapo atakuwa na haki ya kutafuta njia mbadala ambayo polisi hawana uwezo wa kuzuia ujumbe kwenda kwa wananchi.
Tuliosema warudishe posho wabunge wa chadema waliojifanya wako Lockdown hatukukosea wako Dar wanajirusha Mbowe huyo yuko Dar hayuko dodoma