Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,585
- 22,184
Hapana, walikuwa wanawasaidia polisi kuzuia mikusanyiko wakati huu wa Korona, ni kitendo cha kizalendo.Jana wamelipopoa mawe Prado jipya la Nccr Mageuzi huko tarime. Huo ni uvunjifu wa sheria.