T-shirt nyeupe za bibi zao wanao watuma kutaka kutuchafulia taswira nzuri ya nchi yetuNimetoka leo natembea tembea nilisikia habari kwamba Vyama vya upinzani leo watavaa nguo nyeupe kuashiria kudai tume huru.
Lakini mtaani sioni kitu kama hicho sijaona yoyote yule aliyavaa nyeupe au chochote kile.
Walisema hawatoandamana wala kuingia mtaani bali watatoka tu wamevaa nyeupe kuashiria mioyo yao inaishi katika kudai tume huru.
Lakini mtaani sioni chochotekwa hali hii mtawezana mweli kwenye kudai haki?
Mimi binafsi sijavaa t-shirt nyeupe kwa sababu sina and I'm broke to buy a new one.
T-shirt nyeupe za bibi zao wanao watuma kutaka kutuchafulia taswira nzuri ya nchi yetu
Waende wakazivae huko huko kwa walio watuma shwain.
Huwatakii mema WaTz wenzio kwa ule mkwara wa jana
Sio lazima T shirt mpya hata ya zamani mradi ni nyeupe hata raba nyeupe tu zingekutoa.!
Kwani kujitambua ni kuvaa t-shirt nyeupe na kuipinga serikali iliyo madarakani kihalali? Tena kwa kura za wananchi?Sio kosa lako wewe ni muhanga wa watawala wanaotaka ubaki na ujinga wako milele ili wakutawale vizuri wewe na vizazi vyako!! Amka ujitambue ili uokoe vizazi vyako vijavyo.
Kwani kujitambua ni kuvaa t-shirt nyeupe na kuipinga serikali iliyo madarakani kihalali? Tena kwa kura za wananchi?
Ukitoa meno,sina kitu kingine cheupe.
Mtanipa mrejesho baada ya maandamano Mimi ngoja nimalizie kiporo changu cha wali apa
Wameufyata.Kesho mjipange tu.
Hakuna maandamano ni Kila mtu kufanya shuhuri zake kama kawaida lakini akiwa na ishara nyeupe!!!