Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,997
- 7,551
Dogomanda anaogopeka sana hapo chigongwe kuna kituo cha kushusha abiria kinaitwa kwa Dogo Manda ndiyo anaishi hapo, sometimes usiku unakuta gari la polisi wa doria limepaki hapo, wanasimamisha malori makubwa na kuyapekua. Lazima kuna namna.
Makamu wa Rais, anza na hawa polisi wako, wanyooshe maelezo, huyo jamaa akichekewa siku moja ataua polisi.
Makamu wa Rais, anza na hawa polisi wako, wanyooshe maelezo, huyo jamaa akichekewa siku moja ataua polisi.