Tatizo wanadhani Watanzania hawana uwezo wa kuchambua maneno na kauli zao zinazokinzana na uhalisia.hivi wanahabari hawawezi kumhoji huyu kijana? atakuwa ametishwa sana na hao wakandamizaji wa haki za raia.
Tatizo wanadhani Watanzania hawana uwezo wa kuchambua maneno na kauli zao zinazokinzana na uhalisia.hivi wanahabari hawawezi kumhoji huyu kijana? atakuwa ametishwa sana na hao wakandamizaji wa haki za raia.
Ukikutwa umezimia unaenda Polisi siku hizi.? Then unaweza kuongea ukasema wewe ni mwanafunzi wa UDSM? PolitiksHawa si ndio waliosema "Dr. Shika, alitumwa na Lugumi kuharibu mnada?"
Yes amejisafirisha. Kosa la kujisafirisha ni lipi hadi wamshikilie na wasimruhusu hata kukuta na ndugu wale mwanasheria wake?
Kwa kuenda iringa kwa kujisafirisha ni jinai?
Alitolewa na kada wa ccm akisema, alimkuta kazimia kule mufindi. Akampa na nauri aende kureport kituo cha polisi.
Alipojisafirisha alifika mfindi akajiondolea fahamu, kisha yule kada wa ccm akamkamata kwa nguvu na kumfikisha kutuo cha polisi?
Mnasema wazazi waombe msamaha hadharani. Waombe msamaha kwa nani kwa kosa gani?
Mungu ni Mungu na kamwe hatakuwa binadamu.
Kwahiyo anashtakiwa kwa kosa la Wanafunzi wenzake kuita wandishi na kusema ametekwa.Wanafunzi wenzake wwlipoita waandishi je walikusudia kitu gani?je polisi wangekaa kimya then akauwawa na maopportunist ungeandika pumba hizi leo?
Mambosasa aongee na Kova amfundishe namna ya kuandika tamthilia
Acha mihemko..umesahau kama alienda kureport kituo cha Polisi Iringa na kudai hajui kafika vp Iringa!!!Nashangaa jeshi la polisi kumshikilia Abdul Nondo kwa kosa la kudanganya ametekwa, lakini tukirudi kwenye ukweli hakuna sehemu ambayo Abdul Nondo alisema ametekwa, waliosema ametekwa ni wananchi hasa kutokana na SMS yake aliyowatumia marafiki zake.