Kama wameamua kusema version yao tuna haki ya kujiuliza kama hatujaridhika na maelezo. Ni ubinadamu tu kufanya hivyo.Kama una maswali kawaulize wao sio kukimbilia humu kupiga porojo,
Kukusaidia tu ni kwamba uchunguzi ni mpana kuliko unavyofikiria.
Duh! Wewe mwenye ajenda ya kunyoosha! Sijui ni nani wamepinda. Chuki haikusaidii inakuumiza bure.Mtanyooka tu!! Hukuwasikia walioitisha press conf. Muulize Katibu wake yule dada aliyesema ametekwa!!
hahahaaa. kati ya post zote humu naona ni siasa tu, isipokuwa hii nimeipenda sana.Kijana katekwa rasmi sasa, tena katekwa kihalali kabisa na jeshi la polisi
.HUU NI UONGO.
POLIS WANADHAN SISI WATZ NI MAMBUMBUMBU HV?
KIUHALISIA, HUYO DOGO KTENDO CHA KUMSHKILIA HUKO CENTRAL NA KUTOMRUHUSU KUONGEA NA NDUGU AU WAKILI, NI SAWA NA KUMTEKA. KIJANA HUYO AKPATWA MADHARA, POLIS NDYO WA KUJBU.
nilijua jamaa kamanda kumbe kalamanda tuKila mwenye akili anajua mchezo aliofanyiwa huyu jamaa.
Kuna wanasiasa walikuwa wanaaminika huenda wakaja kufanya vitu venye manufaa kwa taifa huko mbele kutokana na historia ya maisha yao kumbe ni hovyoo kabisa.
Nazidi kujifunza wanasiasa wengi wanaotokea familia masikini wanakuja kuwa wa hovyo sana.
.
katika akili za fasta fasta mkuu ,hudhani huyu dogo ana meng ya kujbu kwa wazito zaid ya polisi,lets say hali ile ya wenzake kumtangaza ametekwa had kwny press,ingezua machafuko mabaya kupelekea maafa,lazima uyu dogo ahojiwe na intelligences atake asitake maana km kweli kajteka kwa utoto wake,bhas ajue na wengne mjue kawa automatic kwny list ya ' threat assesment'.hope unajua watu gani wanadeal na hayo mambo..na akiwa levo hiyo,sometimes ndugu watakuona kwny press