mbwiganyuki
Senior Member
- Nov 3, 2012
- 156
- 105
In this life there are two things involved, it is either you are a woman or you are man! if you are a woman you are safe! if you are a woman you are safe! if you are a man there are two things involved, it is either you are a civilian or you are in the military, if you are a civilian you are safe, if your in the military there are two things involved............mtamalizia nyie mnaopenda jeshi
Mnalipenda kwelii au njaa njaa zenu za ajira ndo zinawaforce kulikimbilia? ni bora ujiulize mara mbili je ni kweli unalipenda jeshi je? mikiki mikiki yake utaiweza masharti yake utayavumilia kwa zaidi ya miaka 20 utakayolitumikia je moyo wako utakuwa na amani kuvaa magwanda badala ya casual outfits kwa miaka hiyo? usije kuwa umekaa mtaani umekosa dira so unaona jeshi ndo kimbilio utajutaa!
Mnalipenda kwelii au njaa njaa zenu za ajira ndo zinawaforce kulikimbilia? ni bora ujiulize mara mbili je ni kweli unalipenda jeshi je? mikiki mikiki yake utaiweza masharti yake utayavumilia kwa zaidi ya miaka 20 utakayolitumikia je moyo wako utakuwa na amani kuvaa magwanda badala ya casual outfits kwa miaka hiyo? usije kuwa umekaa mtaani umekosa dira so unaona jeshi ndo kimbilio utajutaa!