Askari wa miguu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 344
- 124
hahaaaaaa hapa sikibaliani na wewe,wataalqm hawaendi huko ila kwa wale wa kawaida ndo wanaenda huko
Usijidanganye halaf ngoja niwaambie msije mkaniona nabii mwezi January litatoka tangazo la wataalam degree holders kwenda TMA moja kwa moja kwa kada 4 tu za Medicine, Architects, Meteorology na nyingine ya 4 nimeisahau(lakini cyo Telecom wala Engineering yoyote), kama huamini kaulize source yako unayoiamini wakupe uhakika wa hii information lakin kwa sababu zangu binafsi this as far as I can tell cwez kusema source yangu mnisamehe!
The rest of graduates wa kada nyingine jitahidi tu uende JKT kwanza then ubahatike uende TMA lakini kama unangoja entry to JWTZ moja kwa moja utasubiri sana, ila uzuri wa JKT ni kwamba vyombo vyote vya ulinzi na usalama vitaanza kuchukua watu kutoka kule so Police, Magereza, Usalama wa Taifa, Uhamiaji, Takukuru wanachukuaga pia JKT so ucfikirie Jeshi tu kwa hyo JKT yako think of sumwhere outside the box, nawasilisha!