Jeshi jeshi jeshi

Jeshi jeshi jeshi

cucoz jr

Member
Joined
Jan 29, 2012
Posts
19
Reaction score
12
jamani humu ndan watu wengi inaelekea wanataka nafasi za jeshi kiukweli jeshi kuanzia mwaka 2011 utaratibu umebadilika cha msingi kama unania kweli ya kwena jeshi tuma barua yako kwenda kwa MKURUGENZI WAJIRI WA JWTZ,S.L.P 9203,DAR-ES-SALAAM.....POINT YA MSING UKUBALI KUANZIA JKT HATA MWAKA MMOJA TUMA SS USISUBIR MPAKA WATANGAZE KOZI NAFASI ZAWEZA KUWA NDOGO KUTOKANA NA WATU WENG WANATUMA SASA.............huo ndo msaada wangu kwa wanaotaka jeshi
 
Kama huo ndio utaratibu wa sasa mbona hauna transparency au ndio mambo ya jeshi ambapo usiri unatukuzwa sana?
 
Asante Rafiki nadhani ndugu zetu watajitahidi kufanya hivyo ila tunasubiria majibu ya kidato cha nne
 
ngoja na mie nutume,hivi hizi barua tunaandika kwa lugha ya kiswahili au kimalkia zaidi
 
kwa hilo cna information kaka...work on it for more info
 
kaka ww ujatuma hata application kwel unaulizia interview ......nakushaur utume kwanza kaka
 
Mie nasubiri mpaka mwaka 2015, najua wakati huo mishahara na marupurupu vitaboreshwa na chama langu la CHADEMA.

chadema ndio chama kitakachoongoza dola 2015 ajira za jeshi zitakuwa wazi na bila kificho na upendeleo kwa watoto wa makada wa chama.
 
kaka hivi nafasi zilizo tangazwa juzi juzi hapa zimeishia wapi? naombeni kujuwa
 
Nlivyockia saiv lazma uende JKT kwanza ili kujua uzalendo wako c kutaka nyota kizembe.
 
jamani humu ndan watu wengi inaelekea wanataka nafasi za jeshi kiukweli jeshi kuanzia mwaka 2011 utaratibu umebadilika cha msingi kama unania kweli ya kwena jeshi tuma barua yako kwenda kwa MKURUGENZI WAJIRI WA JWTZ,S.L.P 9203,DAR-ES-SALAAM.....POINT YA MSING UKUBALI KUANZIA JKT HATA MWAKA MMOJA TUMA SS USISUBIR MPAKA WATANGAZE KOZI NAFASI ZAWEZA KUWA NDOGO KUTOKANA NA WATU WENG WANATUMA SASA.............huo ndo msaada wangu kwa wanaotaka jeshi

ni ushauri au msaada ndugu sijakusoma?
 
Back
Top Bottom