figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,493
- 54,900
- Thread starter
- #21
Ndani kupoje?Mighorofa bongo nje muonekano unavutia ingia ndani sasa
Ndani kupoje?Mighorofa bongo nje muonekano unavutia ingia ndani sasa
Hakika baada ya mapinduzi ya fedha yao nilifikiri japan atatambua kuwa kumzidi uchina tena ni jambo lisilowezekana kutokana na ukubwa wa uchinaJapan na China ni kama Tanzania na Kenya. Kila mmoja anaetaka aonekane yuko mbele ya mwenzake. Lakini ki ukweli ardhi ya Japan ni ya mashaka sana, wakiendelea kutaka kushindana na China kwa kila kitu. Basi kuna siku watakuja kuwaangamiza raia wao kwa kujenga vitu ambavyo havitaweza kuvumilia tetemeko lolote litakalotokea.
Kati ya Japan na Tanzania ipi kubwa?Hakika baada ya mapinduzi ya fedha yao nilifikiri japan atatambua kuwa kumzidi uchina tena ni jambo lisilowezekana kutokana na ukubwa wa uchina
AhaaaWatanzania tunajua ghorofa ni for beautician....
TanzaniaKati ya Japan na Tanzania ipi kubwa?
Yani kuna mighorofa posta haina na imekosa hata wapangaji hadi kina adriz na Accumen Mo wanabadilisha kila chumba kwa kuswali.Watanzania tunajua ghorofa ni for beautician....
Magorofa ni matupu mengi tu ,wanahamia Dodoma kupata wapangaji ni ndoto tenaYani kuna mighorofa posta haina na imekosa hata wapangaji hadi kina adriz na Accumen Mo wanabadilisha kila chumba kwa kuswali.
Ndyo maana ndugu yako mwijaku kajenga gorofaWatanzania tunajua ghorofa ni for beautician....
Ahaa kwahyo Japan hawawezi kutufikia hata wafanyejeT
Tanzania
🤣🤣🤣🤣🤣Halafu uswazi,atakuwa anachungulia majirani zake...ngoja tuatilie kama Lina kibaliNdyo maana ndugu yako mwijaku kajenga gorofa
Mh na alivyo na sifa....tumuombe Hati kabisa🤣🤣🤣🤣🤣Halafu uswazi,atakuwa anachungulia majirani zake...ngoja tuatilie kama Lina kibali
Mh na alivyo na sifa....tumuombe Hati kabisa🤣🤣🤣🤣🤣Halafu uswazi,atakuwa anachungulia majirani zake...ngoja tuatilie kama Lina kibali
Atawanyanyasa sana majirani zake pimbi yuleMh na alivyo na sifa....tumuombe Hati kabisa
Hapo tu Victoria maghorofa kibao yapo empty,,, mengine wamejaribu kupangisha watu waishi wananchi hawa afford gharamaNi ulimbukeni fulani.
Tunajifananisha na Tokyo, wenzetu hawana ardhi na hivyo wanalazimika kujenga kwenda juu.
Wana uchumi unaohitaji ofisi zaidi. Wana umeme mpaka wa nuclear. Wana zimamoto za kueleweka mpaka kufanya kazi kwenye matetemeko ya ardhi.
Sisi tunataka kumuiga tembo kunya tu, tutapasuka msamba.