Hilo nalo neno.
Jeikei amekuwa afisa habar wa tanesco,kila mwisho wa mwaka 2010&2012,amekuwa anatoa hotuba za kuwaambia wananchi wawe wanakubali BEI MPYA ZA UMEME,kila mwaka unapoisha,basi awe anaisemea na EWura n.k
richmond/dowans/symbion si za jk?conflict of interest
kikwete kama rais lazima azungumzie masuala yote ya kitaifa ikiwemo tanesco.
Umekosa cha kuandika?
Jeikei amekuwa afisa habar wa tanesco,kila mwisho wa mwaka 2010&2012,amekuwa anatoa hotuba za kuwaambia wananchi wawe wanakubali BEI MPYA ZA UMEME,kila mwaka unapoisha,basi awe anaisemea na EWura n.k