ozark
JF-Expert Member
- Dec 31, 2021
- 629
- 1,581
EWURA ni "regulator" wa nishati ya aina yoyote hapa nchini,umeme,maji,gesi,mafuta n.k. Na ndio wapangaji bei,na kuna muda huwa wanaigomea hata TANESCO kupandisha bei.
Sasa najiuliza kwa kipindi hiki ambacho umeme unakatika katika ovyo nchi nzima,kwa maana kuna uhaba wa umeme,ningetegemea EWURA wangejitokeza na kuwataarifu wanachi shida ni nini,na ikiwezekana iwakemee TANESCO na idara za maji kama walivofanya kwa vituo vya mafuta,ikiwezekana kuwapiga faini,kama REGULATOR.
Au kwa umeme na maji ni upangaji bei tu?
Sasa najiuliza kwa kipindi hiki ambacho umeme unakatika katika ovyo nchi nzima,kwa maana kuna uhaba wa umeme,ningetegemea EWURA wangejitokeza na kuwataarifu wanachi shida ni nini,na ikiwezekana iwakemee TANESCO na idara za maji kama walivofanya kwa vituo vya mafuta,ikiwezekana kuwapiga faini,kama REGULATOR.
Au kwa umeme na maji ni upangaji bei tu?