Jean Othos Baleke angeacha ule Upumbavu wake ambao Uliwatoa kwa muda Wachezaji Mchezoni Al Ahly FC wasingepata lile Goli lao la Pili

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,697
109,125
Nina uhakika na najua Wengi wenu Kiufundi hili hamkuliona na kuna baadhi hamtonielewa kwani inahitaji Jicho la uhakika Kuliona na Kujua.

Mpaka hivi sasa ( yaani leo hii ) najiuliza nini kilimkuta na kumsababisha Mshambuliaji Jean Baleke kwa dakika Mbili au Tatu kuwa na Mzozo na Mwamuzi, Kufokafoka, Kugombana na Wachezaji wa Al Ahly FC na kuwa na Jazba za Kishamba ambazo zilikuwa hazina Msaada kwa Simba SC yetu?

Kiufundi Kitendo cha Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na aina ile ya Mzozo usio na Faida kuliwafanya kila mara Wachezaji wa Simba SC wapoteze Concentration na muda mwingi kuja Kumuamulia na hata hali ilipotulia na Mchezo kuendelea walikuwa bado hawajajipanga vizuri na Wachezaji wazoefu wa Klabu Kubwa ya Al Ahly FC walipoliona hilo wakalitumia kwa kufanya Counter ya haraka ( huku Wachezaji wa Simba SC bado wakiwa na Furaha ya Goli lao la Pili la Sadio Kanoute ) na Upuuzi aliokuwa akiufanya Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na Mzozo usiokuwa wa lazima na Mwamuzi na Wachezaji wa Al Ahly FC na Kutufunga Goli ambalo limeniuma mno GENTAMYCINE kwani tungekuwa na Umakini lisingerudi / lisingefungwa kwa Interval ndogo ile.

Nadhani Baleke ana Shida Binafsi inayomsumbua au hataki Kuichezea Simba SC hivyo atafutiwe Mtaalam wa Saikolojia ( Psychiatrist ) amsaidie haraka au Uongozi wa Simba SC uongee nae na ikibidi tuachane nae tu kwani bado sijaona Tija yake zaidi ya Kuniboa / Kutuboa tu wana Simba SC.
 
Nina uhakika na najua Wengi wenu Kiufundi hili hamkuliona na kuna baadhi hamtonielewa kwani inahitaji Jicho la uhakika Kuliona na Kujua.

Mpaka hivi sasa ( yaani leo hii ) najiuliza nini kilimkuta na kumsababisha Mshambuliaji Jean Baleke kwa dakika Mbili au Tatu kuwa na Mzozo na Mwamuzi, Kufokafoka, Kugombana na Wachezaji wa Al Ahly FC na kuwa na Jazba za Kishamba ambazo zilikuwa hazina Msaada kwa Simba SC yetu?

Kiufundi Kitendo cha Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na aina ile ya Mzozo usio na Faida kuliwafanya kila mara Wachezaji wa Simba SC wapoteze Concentration na muda mwingi kuja Kumuamulia na hata hali ilipotulia na Mchezo kuendelea walikuwa bado hawajajipanga vizuri na Wachezaji wazoefu wa Klabu Kubwa ya Al Ahly FC walipoliona hilo wakalitumia kwa kufanya Counter ya haraka ( huku Wachezaji wa Simba SC bado wakiwa na Furaha ya Goli lao la Pili la Sadio Kanoute ) na Upuuzi aliokuwa akiufanya Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na Mzozo usiokuwa wa lazima na Mwamuzi na Wachezaji wa Al Ahly FC na Kutufunga Goli ambalo limeniuma mno GENTAMYCINE kwani tungekuwa na Umakini lisingerudi / lisingefungwa kwa Interval ndogo ile.

Nadhani Baleke ana Shida Binafsi inayomsumbua au hataki Kuichezea Simba SC hivyo atafutiwe Mtaalam wa Saikolojia ( Psychiatrist ) amsaidie haraka au Uongozi wa Simba SC uongee nae na ikibidi tuachane nae tu kwani bado sijaona Tija yake zaidi ya Kuniboa / Kutuboa tu wana Simba SC.
Shukrani zenu za wiki mzielekeze kwa mganga wenu amefanya kazi kubwa sana kupunguza idadi ya magoli, kipindi Cha kwanza kilikuwa kinaisha kwa goli 3 bila majibu, na Cha pili goli 2 zingekuwa jumla tano, kaupiga mwingi, Sasa msije mkasahau kwenda nae Misri maana mtakuwa mmefanya kazi bure na ushindi amjapata, bila uyo kule mnaenda kuaibika!
 
Nina uhakika na najua Wengi wenu Kiufundi hili hamkuliona na kuna baadhi hamtonielewa kwani inahitaji Jicho la uhakika Kuliona na Kujua.

Mpaka hivi sasa ( yaani leo hii ) najiuliza nini kilimkuta na kumsababisha Mshambuliaji Jean Baleke kwa dakika Mbili au Tatu kuwa na Mzozo na Mwamuzi, Kufokafoka, Kugombana na Wachezaji wa Al Ahly FC na kuwa na Jazba za Kishamba ambazo zilikuwa hazina Msaada kwa Simba SC yetu?

Kiufundi Kitendo cha Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na aina ile ya Mzozo usio na Faida kuliwafanya kila mara Wachezaji wa Simba SC wapoteze Concentration na muda mwingi kuja Kumuamulia na hata hali ilipotulia na Mchezo kuendelea walikuwa bado hawajajipanga vizuri na Wachezaji wazoefu wa Klabu Kubwa ya Al Ahly FC walipoliona hilo wakalitumia kwa kufanya Counter ya haraka ( huku Wachezaji wa Simba SC bado wakiwa na Furaha ya Goli lao la Pili la Sadio Kanoute ) na Upuuzi aliokuwa akiufanya Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na Mzozo usiokuwa wa lazima na Mwamuzi na Wachezaji wa Al Ahly FC na Kutufunga Goli ambalo limeniuma mno GENTAMYCINE kwani tungekuwa na Umakini lisingerudi / lisingefungwa kwa Interval ndogo ile.

Nadhani Baleke ana Shida Binafsi inayomsumbua au hataki Kuichezea Simba SC hivyo atafutiwe Mtaalam wa Saikolojia ( Psychiatrist ) amsaidie haraka au Uongozi wa Simba SC uongee nae na ikibidi tuachane nae tu kwani bado sijaona Tija yake zaidi ya Kuniboa / Kutuboa tu wana Simba SC.
Waziri mtanashati wa Madini, Antony Mavunde anakusalimu!!! Sikuizi ameahidi kuvaa kikandarasi uchimbaji.
 
LOPO LOPO UTALOPOKA KILA KITU...
Kutwa unahubiri Kunichukia na Kutonipenda GENTAMYCINE hapa JamiiForums ila nashangaa huwa unakuwa so Active katika Kufuatilia Mada ( Threads ) zangu mbalimbali hapa je, Wenye Akili Kubwa Kukuzidi Wakueleweje?

Nilidhani usingekuwa unapoteza muda wako Kunisoma na badala yake ungekuwa Unawasoma hao uwaonao ni Bora Kwako na Mimi GENTAMYCINE ukaniacha na wengi Wanaonielewa, Wanaoniheshimu na Wanaonikubali sawa?

Asante Mwenyezi Mungu kwa kunipa GENTAMYCINE Shani / Tunu za Kipekee za kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" ambazo zinawafanya Maadui zangu Wanichukie Machoni na Vidoleni mwao wakiwa wana type hapa JamiiForums ila Mioyoni mwao na Rohoni kwao Wananikubali hakuna mfano.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Nina uhakika na najua Wengi wenu Kiufundi hili hamkuliona na kuna baadhi hamtonielewa kwani inahitaji Jicho la uhakika Kuliona na Kujua.

Mpaka hivi sasa ( yaani leo hii ) najiuliza nini kilimkuta na kumsababisha Mshambuliaji Jean Baleke kwa dakika Mbili au Tatu kuwa na Mzozo na Mwamuzi, Kufokafoka, Kugombana na Wachezaji wa Al Ahly FC na kuwa na Jazba za Kishamba ambazo zilikuwa hazina Msaada kwa Simba SC yetu?

Kiufundi Kitendo cha Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na aina ile ya Mzozo usio na Faida kuliwafanya kila mara Wachezaji wa Simba SC wapoteze Concentration na muda mwingi kuja Kumuamulia na hata hali ilipotulia na Mchezo kuendelea walikuwa bado hawajajipanga vizuri na Wachezaji wazoefu wa Klabu Kubwa ya Al Ahly FC walipoliona hilo wakalitumia kwa kufanya Counter ya haraka ( huku Wachezaji wa Simba SC bado wakiwa na Furaha ya Goli lao la Pili la Sadio Kanoute ) na Upuuzi aliokuwa akiufanya Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na Mzozo usiokuwa wa lazima na Mwamuzi na Wachezaji wa Al Ahly FC na Kutufunga Goli ambalo limeniuma mno GENTAMYCINE kwani tungekuwa na Umakini lisingerudi / lisingefungwa kwa Interval ndogo ile.

Nadhani Baleke ana Shida Binafsi inayomsumbua au hataki Kuichezea Simba SC hivyo atafutiwe Mtaalam wa Saikolojia ( Psychiatrist ) amsaidie haraka au Uongozi wa Simba SC uongee nae na ikibidi tuachane nae tu kwani bado sijaona Tija yake zaidi ya Kuniboa / Kutuboa tu wana Simba SC.
nimemtukana sana jana baleke kimoyo moyo. kafanya ujinga sana
 
Matukio kama yale husaidia timu kwa kupoza tempo na kutumia kwenye kujipanga na kuweka mikakati, imagine pamoja na muda mwingi wa Ile tafrani tulikosa concentration na opponents marking. Hatukuwa na kipa, beki na viungo walisaidia kuziba mianya ya shots on goal
 
Baleke aliniboa sana
Ningekuwa na uwezo, ningemshauri kocha Robertinho asimpange mechi 5 hivi za Kimataifa ili liwe fundisho kwake na wengine pia.
 
Matukio kama yale husaidia timu kwa kupoza tempo na kutumia kwenye kujipanga na kuweka mikakati, imagine pamoja na muda mwingi wa Ile tafrani tulikosa concentration na opponents marking. Hatukuwa na kipa, beki na viungo walisaidia kuziba mianya ya shots on goal
Ulitaka kipa afanyeje kwa yale magoli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina uhakika na najua Wengi wenu Kiufundi hili hamkuliona na kuna baadhi hamtonielewa kwani inahitaji Jicho la uhakika Kuliona na Kujua.

Mpaka hivi sasa ( yaani leo hii ) najiuliza nini kilimkuta na kumsababisha Mshambuliaji Jean Baleke kwa dakika Mbili au Tatu kuwa na Mzozo na Mwamuzi, Kufokafoka, Kugombana na Wachezaji wa Al Ahly FC na kuwa na Jazba za Kishamba ambazo zilikuwa hazina Msaada kwa Simba SC yetu?

Kiufundi Kitendo cha Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na aina ile ya Mzozo usio na Faida kuliwafanya kila mara Wachezaji wa Simba SC wapoteze Concentration na muda mwingi kuja Kumuamulia na hata hali ilipotulia na Mchezo kuendelea walikuwa bado hawajajipanga vizuri na Wachezaji wazoefu wa Klabu Kubwa ya Al Ahly FC walipoliona hilo wakalitumia kwa kufanya Counter ya haraka ( huku Wachezaji wa Simba SC bado wakiwa na Furaha ya Goli lao la Pili la Sadio Kanoute ) na Upuuzi aliokuwa akiufanya Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na Mzozo usiokuwa wa lazima na Mwamuzi na Wachezaji wa Al Ahly FC na Kutufunga Goli ambalo limeniuma mno GENTAMYCINE kwani tungekuwa na Umakini lisingerudi / lisingefungwa kwa Interval ndogo ile.

Nadhani Baleke ana Shida Binafsi inayomsumbua au hataki Kuichezea Simba SC hivyo atafutiwe Mtaalam wa Saikolojia ( Psychiatrist ) amsaidie haraka au Uongozi wa Simba SC uongee nae na ikibidi tuachane nae tu kwani bado sijaona Tija yake zaidi ya Kuniboa / Kutuboa tu wana Simba SC.
kiukweli, ukiona mchezaji anagombana waziwazi, badala ya kuwa na busara, ni ujinga tu. mpira wote tumeuona, umefanya foul, unarudi kugombana, unamfanya refa anakuwa biased against timu yako, unnecessarily.
 
kiukweli, ukiona mchezaji anagombana waziwazi, badala ya kuwa na busara, ni ujinga tu. mpira wote tumeuona, umefanya foul, unarudi kugombana, unamfanya refa anakuwa biased against timu yako, unnecessarily.
Ni Mchezaji Mpumbavu na Katugharimu.
 
Huyo baleke sema amekutana na waarabu ambao ni wastaarabu sana, angekutana na waamerika ya kusini wakina Rodrigo de paulo au otamendi aise angeondoka na ngeo usoni au hana jicho kabisa

Mshaurini aache kiburi, itamgharimu na vile vile kwa timu
 
Nina uhakika na najua Wengi wenu Kiufundi hili hamkuliona na kuna baadhi hamtonielewa kwani inahitaji Jicho la uhakika Kuliona na Kujua.

Mpaka hivi sasa ( yaani leo hii ) najiuliza nini kilimkuta na kumsababisha Mshambuliaji Jean Baleke kwa dakika Mbili au Tatu kuwa na Mzozo na Mwamuzi, Kufokafoka, Kugombana na Wachezaji wa Al Ahly FC na kuwa na Jazba za Kishamba ambazo zilikuwa hazina Msaada kwa Simba SC yetu?

Kiufundi Kitendo cha Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na aina ile ya Mzozo usio na Faida kuliwafanya kila mara Wachezaji wa Simba SC wapoteze Concentration na muda mwingi kuja Kumuamulia na hata hali ilipotulia na Mchezo kuendelea walikuwa bado hawajajipanga vizuri na Wachezaji wazoefu wa Klabu Kubwa ya Al Ahly FC walipoliona hilo wakalitumia kwa kufanya Counter ya haraka ( huku Wachezaji wa Simba SC bado wakiwa na Furaha ya Goli lao la Pili la Sadio Kanoute ) na Upuuzi aliokuwa akiufanya Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na Mzozo usiokuwa wa lazima na Mwamuzi na Wachezaji wa Al Ahly FC na Kutufunga Goli ambalo limeniuma mno GENTAMYCINE kwani tungekuwa na Umakini lisingerudi / lisingefungwa kwa Interval ndogo ile.

Nadhani Baleke ana Shida Binafsi inayomsumbua au hataki Kuichezea Simba SC hivyo atafutiwe Mtaalam wa Saikolojia ( Psychiatrist ) amsaidie haraka au Uongozi wa Simba SC uongee nae na ikibidi tuachane nae tu kwani bado sijaona Tija yake zaidi ya Kuniboa / Kutuboa tu wana Simba SC.
Ule ni upuuzi wa kiwango cha lami. Nilimshangaa mno
 
Alikuwa analalamika kuonewa hakumgusa yule mchezaji.Ni kweli pale refa alifanya maamuzi ya hovyo na wachezaji walitoka mchezoni wakashtukizwa
 
H
Nina uhakika na najua Wengi wenu Kiufundi hili hamkuliona na kuna baadhi hamtonielewa kwani inahitaji Jicho la uhakika Kuliona na Kujua.

Mpaka hivi sasa ( yaani leo hii ) najiuliza nini kilimkuta na kumsababisha Mshambuliaji Jean Baleke kwa dakika Mbili au Tatu kuwa na Mzozo na Mwamuzi, Kufokafoka, Kugombana na Wachezaji wa Al Ahly FC na kuwa na Jazba za Kishamba ambazo zilikuwa hazina Msaada kwa Simba SC yetu?

Kiufundi Kitendo cha Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na aina ile ya Mzozo usio na Faida kuliwafanya kila mara Wachezaji wa Simba SC wapoteze Concentration na muda mwingi kuja Kumuamulia na hata hali ilipotulia na Mchezo kuendelea walikuwa bado hawajajipanga vizuri na Wachezaji wazoefu wa Klabu Kubwa ya Al Ahly FC walipoliona hilo wakalitumia kwa kufanya Counter ya haraka ( huku Wachezaji wa Simba SC bado wakiwa na Furaha ya Goli lao la Pili la Sadio Kanoute ) na Upuuzi aliokuwa akiufanya Mshambuliaji Jean Baleke kuwa na Mzozo usiokuwa wa lazima na Mwamuzi na Wachezaji wa Al Ahly FC na Kutufunga Goli ambalo limeniuma mno GENTAMYCINE kwani tungekuwa na Umakini lisingerudi / lisingefungwa kwa Interval ndogo ile.

Nadhani Baleke ana Shida Binafsi inayomsumbua au hataki Kuichezea Simba SC hivyo atafutiwe Mtaalam wa Saikolojia ( Psychiatrist ) amsaidie haraka au Uongozi wa Simba SC uongee nae na ikibidi tuachane nae tu kwani bado sijaona Tija yake zaidi ya Kuniboa / Kutuboa tu wana Simba SC.
Mtaalam wa Saikolojia = Psychologist
 
Back
Top Bottom