Kwanini wachezaji wa Al Ahly walikuwa wanaonyesha 2-2 toka goli la kwanza lilivyofungwa?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,151
7,916
Good morning ladies and gentlemen,

Jana nilipata nafasi ya kuangalia boli la AFL. Sina mengi ya kusema maana nimepumzika kuongelea sana kuhusu mambo ya mpira huku mitandaoni ila nina maswali mawili.

Kuna ishara ya vidoli viwili kwa kila mkono ambavyo wachezaji wa Al Ahly waliifanya baada ya kufunga goli la kwanza la kutangulia na ni ishara hiyo hiyo waliirudia baada ya kurudisha goli la pili. Ile ishara ina tafsiri gani?

Pili, nani alitoa ushauri kuweka katika jezi za Simba zilizozinduliwa kwa ajili ya AFL maneno "Simba vs Al Ahly"? Katika maisha yangu hapa duniani sijawahi kuona timu ya mpira inacheza mechi ya kiushindani halafu katika jezi ikaweka jina la timu pinzani.

Jezi zilivyozinduliwa nililiona hili nikasema ngoja nisubiri hadi nitakapoona jezi za Al Ahly zilivyo maana inawezekana timu zote zitavaa design hizo. Kwa ajili ya washabiki siyo mbaya kutoa jezi za namna hiyo kama kumbukumbu ingawa nayo inaleta maswali, Simba haikuwa inaamini ina uwezo wa kuvuka hatua hii hadi kutoa jezi za mechi moja.

Kauli zadhaa za hivi karibuni za Mwenyekiti Salum zilikuwa zinaonyesha haamini Simba itavuka hatua hii. Kiufupi jezi za wachezaji zisingeitaja Al Ahly, ingetosha tu kusema "African Football League 2023".

Mengine nayaacha kama yalivyo. Kuna uzi niliwahi kuuleta hapa kuna jambo umenikumbusha ila ngoja niuache.
 
Pili, nani alitoa ushauri kuweka katika jezi za Simba zilizozinduliwa kwa ajili ya AFL maneno "Simba vs Al Ahly"? Katika maisha yangu hapa duniani sijawahi kuona timu ya mpira inacheza mechi ya kiushindani halafu katika jezi ikaweka jina la timu pinzani.

Nina shaka na upenzi wako wa mpira wa miguu...

Kwamba hujawahi kuona mechi za mashindano kama haya kwenye jezi za timu kunawekwa timu fulani vs timu fulani?
 
Nina shaka na upenzi wako wa mpira wa miguu...

Kwamba hujawahi kuona mechi za mashindano kama haya kwenye jezi za timu kunawekwa timu fulani vs timu fulani?
Unadhani Sandaland ana uwezo wa kutoa jezi mpya kwa haraka iwapo Simba itamtoa Al Alhy na kufuzu hatua inayofuata na mechi za nusu fainali ni weekend ijayo? Elewa point ya msingi.
 
Mkuu umeanza shabikia mpira lini? Inaonekana una low knowledge ya mpira,

Hizo jersey ni kawaida tu kuandikwa match iliyotumika, na sio kwamba Sandaland atatoa jersey nyingine, jersey za mashabiki hazina ile tarehe, ila ni kwa wachezaji tu so hata simba akimtoa al ahly, Sandaland atachukua jersey 30 anaenda anaprint
Simba Vs Mamelod Sundowns, kitu ambacho kitachukua nusu saa tu, ila sisi mashabiki tutaendelea kuvaa jersey zile ila bila tarehe wala jina la match,

Hope umeongeza kitu
 
Hilo la mbili mbili ndio labda niongelee, hiyo waga ni ishara ya kushangilia na hutumiwa na wachezaji mbalimbali duniani.

Vidole viwili vya mkono mmoja hunyanyuliwa juu vertically na vingine viwili vya mkono mwingine hunyanyuliwa juu kwa kuvigusisha horizontally na hivi viwili vingine vya vertical. That's all.
 
Good morning ladies and gentlemen,

Jana nilipata nafasi ya kuangalia boli la AFL. Sina mengi ya kusema maana nimepumzika kuongelea sana kuhusu mambo ya mpira huku mitandaoni ila nina maswali mawili.

Kuna ishara ya vidoli viwili kwa kila mkono ambavyo wachezaji wa Al Ahly waliifanya baada ya kufunga goli la kwanza la kutangulia na ni ishara hiyo hiyo waliirudia baada ya kurudisha goli la pili. Ile ishara ina tafsiri gani?

Pili, nani alitoa ushauri kuweka katika jezi za Simba zilizozinduliwa kwa ajili ya AFL maneno "Simba vs Al Ahly"? Katika maisha yangu hapa duniani sijawahi kuona timu ya mpira inacheza mechi ya kiushindani halafu katika jezi ikaweka jina la timu pinzani. Jezi zilivyozinduliwa nililiona hili nikasema ngoja nisubiri hadi nitakapoona jezi za Al Ahly zilivyo maana inawezekana timu zote zitavaa design hizo. Kwa ajili ya washabiki siyo mbaya kutoa jezi za namna hiyo kama kumbukumbu ingawa nayo inaleta maswali, Simba haikuwa inaamini ina uwezo wa kuvuka hatua hii hadi kutoa jezi za mechi moja. Kauli zadhaa za hivi karibuni za Mwenyekiti Salum zilikuwa zinaonyesha haamini Simba itavuka hatua hii. Kiufupi jezi za wachezaji zisingeitaja Al Ahly, ingetosha tu kusema "African Football League 2023".

Mengine nayaacha kama yalivyo. Kuna uzi niliwahi kuuleta hapa kuna jambo umenikumbusha ila ngoja niuache.
Hili nalo limewaumiza,mbona mnajitafutia maradhi yasiyotibika bila sababu za msingi.
FB_IMG_1697705818872.jpg
 
Maana yake ni kwamba huo mchezo ulishachezwa kwenye ulimwengu usioonekana ambapo matokeo yalikuwa 2 - 2 kabla ya kuchezwa kwenye ulimwengu wa mwili.

Kwa hiyo wale walikuwa wanajua wanachokifanya.
 
Good morning ladies and gentlemen,

Jana nilipata nafasi ya kuangalia boli la AFL. Sina mengi ya kusema maana nimepumzika kuongelea sana kuhusu mambo ya mpira huku mitandaoni ila nina maswali mawili.

Kuna ishara ya vidoli viwili kwa kila mkono ambavyo wachezaji wa Al Ahly waliifanya baada ya kufunga goli la kwanza la kutangulia na ni ishara hiyo hiyo waliirudia baada ya kurudisha goli la pili. Ile ishara ina tafsiri gani?

Pili, nani alitoa ushauri kuweka katika jezi za Simba zilizozinduliwa kwa ajili ya AFL maneno "Simba vs Al Ahly"? Katika maisha yangu hapa duniani sijawahi kuona timu ya mpira inacheza mechi ya kiushindani halafu katika jezi ikaweka jina la timu pinzani. Jezi zilivyozinduliwa nililiona hili nikasema ngoja nisubiri hadi nitakapoona jezi za Al Ahly zilivyo maana inawezekana timu zote zitavaa design hizo. Kwa ajili ya washabiki siyo mbaya kutoa jezi za namna hiyo kama kumbukumbu ingawa nayo inaleta maswali, Simba haikuwa inaamini ina uwezo wa kuvuka hatua hii hadi kutoa jezi za mechi moja. Kauli zadhaa za hivi karibuni za Mwenyekiti Salum zilikuwa zinaonyesha haamini Simba itavuka hatua hii. Kiufupi jezi za wachezaji zisingeitaja Al Ahly, ingetosha tu kusema "African Football League 2023".

Mengine nayaacha kama yalivyo. Kuna uzi niliwahi kuuleta hapa kuna jambo umenikumbusha ila ngoja niuache.
Ile ni ishara ya kupinga na kuhudhunika kinachoendelea kule Gaza kwa wapalestina
 
Good morning ladies and gentlemen,

Jana nilipata nafasi ya kuangalia boli la AFL. Sina mengi ya kusema maana nimepumzika kuongelea sana kuhusu mambo ya mpira huku mitandaoni ila nina maswali mawili.

Kuna ishara ya vidoli viwili kwa kila mkono ambavyo wachezaji wa Al Ahly waliifanya baada ya kufunga goli la kwanza la kutangulia na ni ishara hiyo hiyo waliirudia baada ya kurudisha goli la pili. Ile ishara ina tafsiri gani?

Pili, nani alitoa ushauri kuweka katika jezi za Simba zilizozinduliwa kwa ajili ya AFL maneno "Simba vs Al Ahly"? Katika maisha yangu hapa duniani sijawahi kuona timu ya mpira inacheza mechi ya kiushindani halafu katika jezi ikaweka jina la timu pinzani. Jezi zilivyozinduliwa nililiona hili nikasema ngoja nisubiri hadi nitakapoona jezi za Al Ahly zilivyo maana inawezekana timu zote zitavaa design hizo. Kwa ajili ya washabiki siyo mbaya kutoa jezi za namna hiyo kama kumbukumbu ingawa nayo inaleta maswali, Simba haikuwa inaamini ina uwezo wa kuvuka hatua hii hadi kutoa jezi za mechi moja. Kauli zadhaa za hivi karibuni za Mwenyekiti Salum zilikuwa zinaonyesha haamini Simba itavuka hatua hii. Kiufupi jezi za wachezaji zisingeitaja Al Ahly, ingetosha tu kusema "African Football League 2023".

Mengine nayaacha kama yalivyo. Kuna uzi niliwahi kuuleta hapa kuna jambo umenikumbusha ila ngoja niuache.
swala la jezi kuandikwa X vs Y ni la kawaida sana tena lipo kitambo wewe umechelewa kulijua...simba hata wangevuka wangevaa zilizoandikwa vs na timu wanayocheza nayo
 
swala la jezi kuandikwa X vs Y ni la kawaida sana tena lipo kitambo wewe umechelewa kulijua...simba hata wangevuka wangevaa zilizoandikwa vs na timu wanayocheza nayo
Mkuu umeanza shabikia mpira lini? Inaonekana una low knowledge ya mpira,

Hizo jersey ni kawaida tu kuandikwa match iliyotumika, na sio kwamba Sandaland atatoa jersey nyingine, jersey za mashabiki hazina ile tarehe, ila ni kwa wachezaji tu so hata simba akimtoa al ahly, Sandaland atachukua jersey 30 anaenda anaprint
Simba Vs Mamelod Sundowns, kitu ambacho kitachukua nusu saa tu, ila sisi mashabiki tutaendelea kuvaa jersey zile ila bila tarehe wala jina la match,

Hope umeongeza kitu
Leteni mfano hiyo ya timu moja tu katika mashindano ndiyo imevaa jezi ya namna hiyo halafu anayecheza naye hajavaa.
 
Mkuu iyo alama ya vidole viwili viwili na kuweka kama alama ya X kati ni ujumbe wa kuwa palestine iachwe free na vile vidole viwili ni alama ya victory iyo pia ni kwa ajili ya palestine so hao ahly wapo bega kwa bega na wapalestina na ndo mana wameshangilia vile.
 
Mkuu suala la jezi ni suala binafsi la timu...
Sasa ulipokuja kuhoji ufahamu wangu wa mpira bila kutoa mifano inayofanana na hiyo ulikuwa na maana gani? Na mimi nafahamu ni suala binafsi la timu ila nimehoji busara iliyotumika kufanya maamuzi hayo maana hilo jambo lina tafsiri pana kwa wale wenye uwezo wa kufikiri mambo kwa upana.
 
Back
Top Bottom