mr.dominick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 244
- 28
Hapa tatizo si utumwa wa kiarabu bali ule wa watu kujitakia kuwa watumwa kama sasa ambapo waswahili wengi wenye ngozi maji ya kunde hujiona waarabu zaidi ya waswahili. Mie sioni kosa kwa wazanzibari kutaka kuishia mradi wasirudi mambo yatakapowashinda kama wenzao wa Comoro. Kila la heri nendeni salama ila mwendako siko wanangu. Laiti mgejua kuwa si kila ving'aravyo ni dhahabu!
what shall they do??? Jee waendelee kudhalilishwa na hii sytem iliojaa mafisadi, wezi kwa kisingizio cha muungano na uafrika ??