Je Zanzibar imewahi kuwa Koloni la Waarabu au la Watanganyika?

Yesu ninayemfahamu mimi hasemi Zanzibar ni Koloni la Tanzania Bara, ipo huru na ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na anasema hivi "tutii mamlaka yaliyopo duniani". Vipi wewe yesu wako anasemaje?

UNATUMIA MAJINA MAWILI ????

HUYO NILIYEMUANDIKIA YAELEKEA AMEFAHAMU NA SIJAMUONA TENA KUBISHANA BADALA YAKE UMEIBUKA WEWE KULETA UBISHI KAMA VILE KUNA MTU ALIDAI MANENO HAYO ULIYOYAANDIKA YALISEMWA NA BWANA YESU ;

HAYA LETE JENGINE , KAMA UNAWEZA HATA MZEE WAKO ALIYEKUZAA KUMUAMBIA MANENO HAYA , ENDELEA NA HUYO YESU UMJUAYE WEWE

By MC babuu Tatizo wazanzibar wameshavimbishwa vichwa na mashoga zao wa nje (waarabu) wanaona tunaufaidi sana muungano.uwezo hawana kaz kujitia kimbelembele kila jambo yahee hamtafika popote nanuku maneno ya jembe la afrika J.K.N 'kama wazanzibari wakiukataa muungano wakianza kusema oh wao wana bendera sisi hatuna kwa nn basi hawatabaki salama'mwisho wa kunukuu mkae mkijua wanaowapamba leo walishaendelea siku nying wanachotaka kwenu ni mgongo wenu tu kama steping stone tena bora tuachane kabisa sababu mashoga wengi uku mjini ni wapemba wakirudi uko chakechake ata zambi zitapungua ushoga ukouko na waarabu wanavyopenda back mmekwisha
 
Watu wa Zanzibar wengi mababu zao walipelekwa huko katika soko la watumwa yaani walikuwa wanauzwa kama bidhaa sokoni na waarabu wamezaliana huko wamekuwa wengi wamesahau historia,na wengi wao walitokea huku bara.Hao waarabu na waasia wachache wenye nguvu huko zanzibar ni masalia ya mabwana waliokuwa wanuza binadamu wenzao kama bidhaa sokoni kabla ya biashara hii ya binadamu kupigwa marufuku.biashara hii ya kuwafanya binadamu wengine watwana iliendelea mpaka pale watwana walipoamua kuchukua mapanga na kumtoa bomba yule mwarabu sultani,hivyo muungano ulisaidia kukomesha kabisa ubwana na utwana huko Zenj,inaonekana kizazi cha sasa hakielewi malengo ya muungano yalikuwa ni nini na sasa wamelewa uhuru na demokrasia huru kabisa.Kwa mtazamo wangu wengeachiwa waanze wenyewe warudishe ubwana na utwana wao,wasituchafulie Tanganyika yetu kwani na yenyewe itakuwa imerudi tena kwa kishindo na matumaini mapya mapya ya maendeleo, kila kukicha zanzibar huyu ni mdudu anataka kutumaliza tuachane nae kabisa.


wacheni huu ushamba nchi inateketezwa na mafisadi , WAZANZIBARI NI HAKI YAO KUTOKA kwenye muungano IKIWA SISI WATANGANYIKA TUNAOJIFANYA WAAFRIKA NCHI INAENDESHWA HIVI , NA KUENDEKEZA UPUMBAVU MARA USULTANI UARABU UAFRIKA KAMA VILE VITU HIVYO VITATUPATIA MAISHA BORA

MSIKILIZE MSIGWA HUYU Mhe. Msigwa akifyatuka Juni 20, 2012 - YouTube
 
unajua ni kweli kuna watu huko Zanzibar wanaweza kabisa wasiwe wanawaona wale Waarabu wa Oman kama wakoloni? wao ukoloni uliishia kwa Wareno!!
Unajua kwa nini Mwanakijiji? Inadaiwa Sultani moja aliamua kupanda mbegu ya wazanzibari wapya kwa kufuga nyumba ndogo (concubines) zaidi ya mia moja na aliwazalisha kikweli kweli! Mavuno ya juhudi zake tunayashuhudia leo kwa maumbo ya ajabu ajabu kama UAMUSHO! Mzanzibari mweusi hatakiwi tena...hata hivyo hakuna cha ajabu kuona watwana wachache wakijitokeza kuwatetea mabwana zao.
 
kama unafanya mambo kwa kuiga basi utakuwa upo sahahihi, ila kwa mfano wako wa Yanga na Sudani Kusini havipo sawa, maana Yanga kwa katiba yao wapo huru kwa mambo yao, na sasa kwa katiba yao hiyo wanafanya uchaguzi. Hao Sudan kusini walikuwa taifa moja, na hawakuwa na muungano na Sudan Kaskazini (nisaishe kama nimekosea). Hivi hao Yanga nani aliwatungia katiba, na nani alipiga kura ya kuidhinisha/kuipitisha? si Zanzibar wana katiba yao, rais wao, wimbo wao wa taifa, etc. wanataka uhuru upi wa kurudi kwa bwana wao Sultan?

hapa nilikuwaiza kwamba bendera sio issue.hata yanga wanayo.....
na uliuliza zanzibar wanakosa nini ? nikakwambia kama south sudan walikosa nini sudan kubwa? walichokosa south sudan hadi kudai kusini yao...hata kama zilikuwa nchi moja...lakini kama walikua na sababu basi hazitofautiani nz suala la zanzibar.
ama kuhusu sultan nadhani wale wanaodai kuachiwa wapumuwe hawamjui....na hili la sultan kurudi ni mbinu hasi ya kujaribu kuwatisha wazenji ....lakini utabaki Jamshid harudu tena zanzibar kwani hakuna amtakae, sasa watu wapo katika zama nyengine...naye sasa yupo na zaidi ya miaka 80 aje afanye nini..nani kakwambia waz enji wanataka kumrejesha?
 
hapa nilikuwaiza kwamba bendera sio issue.hata yanga wanayo.....
na uliuliza zanzibar wanakosa nini ? nikakwambia kama south sudan walikosa nini sudan kubwa? walichokosa south sudan hadi kudai kusini yao...hata kama zilikuwa nchi moja...lakini kama walikua na sababu basi hazitofautiani nz suala la zanzibar.
ama kuhusu sultan nadhani wale wanaodai kuachiwa wapumuwe hawamjui....na hili la sultan kurudi ni mbinu hasi ya kujaribu kuwatisha wazenji ....lakini utabaki Jamshid harudu tena zanzibar kwani hakuna amtakae, sasa watu wapo katika zama nyengine...naye sasa yupo na zaidi ya miaka 80 aje afanye nini..nani kakwambia waz enji wanataka kumrejesha?

Mkuu Macos, hapa tutaongea mengi sana, ila tukirudi kwenye hoja ya Mwanakijiji ni kweli kabisa, Zanzibar haijawi kuwa koloni la Tanganyika, ila ilishakuwa koloni la Waarabu.
 
WAnasema Zanzibar ni koloni la TAnganyika; wanatuita watu wa bara kuwa ni "wakoloni"; wanasema bila hata kufikiria kuwa ati Muungano hauna uhalali kwa vile hakukuwa na kura ya maoni; kwamba ati "watu waulizwe" kwanza ili wajue wanataka nini. Hawa hawa hawaelezikama Sultani alipigiwa kura na Wazanzibari kuwa SUltani wao? Hawa wanaamini Sultani alikuwa na uhalali wa kutawala Zanzibar hata kama Sultani huyo hakupigiwa kura, wala wananchi wake kuulizwa kama wanataka aendelee kuwatawala.

Hivi, kabla ya uhuru wa 1963 Wazanzibar walipiga kura ya maoni kuhusu kuendelea kwa Sultani kama "constitutional monarchy" au nani aliamua hili?

Leo ndio nimeCONFIRM kuwa una chuki na Sultan, na post zako zoooote za nyuma zilikua ni kutaka uchochezi dhidi ya wazanzibari wenyewe kwa wenyewe, ukawa unakuja na historia ya kupotosha watu!!!

Sasa mzee MWANAKIJIJI USIPOTOSHE WATU, HUNA ULIJUALO ZAIDI YA KUONGEA PUMBA!! SWALI LAKO UNGEANZA KUULIZA KUWA " JE ZANZIBAR LILIKUA KOLONI LA PORTUGUESE, MWARABU au TANGANYIKA?? " ndio lingekuwa swali zuri, kwanini sasa usianze na mportuguese au kwakuwa ni mzungu? Sasa kama hujui ndo nakupa taarifa, wazanzibari wa kipindi hicho waliokuwa chuni ya utawala wa portuguese waliomba msaada kutoka kwa Sultan wa Oman, wakati huo waoman walifanikiwa kuwafukuza waportuguese!

SASA MWANAKIJIJI, kama ulitaka kujua basi sasa ndo nshakutaarifu, hao sultan waliitwa zanzibar!! HAYA TAFUTA JENGINE NKUJIBU
 
Back
Top Bottom