Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Boss naomba nisaidie hii dawa, maana kimenitesa hadi uwezo wa kuona vizuri umefifia,
 

Namba 1 na 2 niliifatilia mpaka nikazoea...
 
Ujue hata viongozi wa dini wanafundisha kufuata amri za Mungu lakini wao pia wanazivunja kwa kukosa uvumilivu.
 

Hivi ile kwaya iliyokuwa ikichezwa background RFA wakati wa kipindi chake, unaitwaje ule wimbo? naupenda mnooo. Nilikuwaga nafurahia pale tu unapoanza kusikika. Nilishautafuta ule wimbo bila mafanikio, nadhani ni wimbo wa AIC kwaya.

-Kaveli-
 
Nimesha wahi kutana naye mahala , zile pesa sijui zimeisha
 
Hivi ile kwaya iliyokuwa ikichezwa background RFA wakati wa kipindi chake, unaitwaje ule wimbo? naupenda mnooo. Nilikuwaga nafurahia pale tu unapoanza kusikika. Nilishautafuta ule wimbo bila mafanikio, nadhani ni wimbo wa AIC kwaya.

-Kaveli-
Wimbo mzuri ila sijui nani/kwaya gani wameimba.
 
nilisikiaga alifika hatua ya kuwa anasafiri na msafara kama Mkwele enzi hizo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…