Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Kuna radio moja nilikuta kipindi chake anaendelea na mafundisho yake!
 

kudadek umeua
 
Wazungu na mawakala wao..wametuweza... ... vyetu vyote ni sumu... na sisi tumetiwa upofu .. na ma Dr. wetu ndio kabisaaa.. .. kinga lazima zishuke.. ..
 
Nafahamu. Mahindi yangu huwa nachukulia shambani
 
Wenawe umetisha
 
Dr ndodi alikuwa anakuambia ukiumwa malaria kunywa maji Lita tano kwa siku Saba unapona

Kuna mwamba mmoja tulikuwa tunasoma nae uboyizi so akajaribu hii mbinu alizidi ikabidi atafutie mseto ndio ulikuwa unaanza kuingia na haujawa officially kuwa dawa ya serikali

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Malamba mawili Daslam kituo,shusha kwa Ndodi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…