Naomba niweke mambo sawa ili tusiendelee kuumizana.
Kutokana na kwamba baadhi ya watu wana uelewa finyu kuhusu misamiati ya mpinzani, mkosoaji, mwanaharakati na sisi waibua kero; kuna watu wameumizwa kwa kuonekana kana kwamba ni wapinzani.
Mfano: Bwana mmoja aliona mabweni ya wanafunzi yana nyufa huku ujenzi ukiwa unaendelea. Alipotoa hizo taarifa kwa umma wa wana fungi, alisakamwa mno.
Huku kitaa ukiwa mtu wa kuripoti kero unaonekana mpinzani au mkosoaji wa Serikali.
Hii tabia ya kuwaona wanaoibua kero ni wapinzani au wakosoaji imetoka wapi?
Ni vyema watu wakawa huru kuibua kero ili Serikali izifanyie kazi.
Kutokana na kwamba baadhi ya watu wana uelewa finyu kuhusu misamiati ya mpinzani, mkosoaji, mwanaharakati na sisi waibua kero; kuna watu wameumizwa kwa kuonekana kana kwamba ni wapinzani.
Mfano: Bwana mmoja aliona mabweni ya wanafunzi yana nyufa huku ujenzi ukiwa unaendelea. Alipotoa hizo taarifa kwa umma wa wana fungi, alisakamwa mno.
Huku kitaa ukiwa mtu wa kuripoti kero unaonekana mpinzani au mkosoaji wa Serikali.
Hii tabia ya kuwaona wanaoibua kero ni wapinzani au wakosoaji imetoka wapi?
Ni vyema watu wakawa huru kuibua kero ili Serikali izifanyie kazi.