Unajua impact za masaa mawil ya gym na dk7 za bed zinavyoathiri mwili wako?Kwa wale ndugu zangu wazee wa kukimbia kimbia barabarani na wale wa kwenda gym poleni sana
From now on, mazoezi yangu nayahamishia Kwa bed ( kitandani)
Uamuzi ni wako .... either ufanye zoezo Gym ....masaa mawili ...au uzagamuane Dk 7
View attachment 2877427
Kwani janabi anasemaje? Na nyie mmeambiwq na nani?Lakini pia tumeambiwa ni mazoezi mazuri hayo
Hii siyo kweli, wa Gym anapata faida ya Mascular build up na kuchoma fats wewe wa kitandani unaiprove tu pumzi na blood flow na unapata hasara ya UTI.Aliyetumia dk 7 Kwa bed.....na aliyeenda gym masaa mawili...wote wamepiga zoezi sawa
Sicheki.... 😊 😊 😊Mpaka itakapogunduliwa tombameter ndiyo tutajua
Umenena vyema,huu uzi umeegemea upande mmojaMpaka itakapogunduliwa tombameter ndiyo tutajua