Ila jamaa yuko onpoint mkuuutakuwa wewe una DNA ya shetani kabisa au shetani anakuingilia kwenye maketio
Ni vizuri kucounter hoja kwa hoja, good.Ila jamaa yuko onpoint mkuu
View attachment 2247221View attachment 2247222View attachment 2247224View attachment 2247226
Ulichopost ni garbage, literally 😂
Njemba Soro.: Mbona hapo hakuna sehemu hata moja fanani amehusisha Quran?, Ebu tujitahidi kujibu au kuchangia kutokana na mada husika tukiwa watu wa namna hii huwa tunaonekana hatuna hoja.Kwa hiyo unashauri tuamini kuwa Quran ilishuka kutoka juu kama papai linavyodondoka? Maana bwana mtume hakujua kusoma wala kuandika.
Hiyo ya Quran ielezee wewe labda yeye kayaona ya biblia tu vipi au ya Quran atayaleta baadae, cha msingi hapa nakushauri jikite kwenye hoja husika kwanza.Kwa maandiko ayo usiseme biblia tu bali sema "Je, waandishi wa vitabu vya dini (Biblia na Quran) hawakuona aibu kufanya ‘Plagiarism’ ya wazi wazi kwenye ‘Vibao vya Sumeria’ na kufanya editing bila aibu kabisa?" Maana naona wote wameenda tofauti na ayo maandiko.
kwani nimeuliza nini?Njemba Soro.: Mbona hapo hakuna sehemu hata moja fanani amehusisha Quran?, Ebu tujitahidi kujibu au kuchangia kutokana na mada husika tukiwa watu wa namna hii huwa tunaonekana hatuna hoja.
Is Carbon 14 accurate?Tunapima umri wa vitu kwa kutumia mbinu za kisayansi, mfano vitu vilivyokuwa na asili ya uhai (organic) tunatumia Carbon dating, vitu kama mawe pia vina ‘method yake’ . hivyo vibao vimetambulika kwa mbinu hizo kuwa na miaka 3,000 zaidi ya kipindi cha kuandikwa kwa biblia. Maana hata sasa kuna mashahidi ya kaburini yanaandikwa kwenye mawe, ila haimaanishi mashahidi haya yana umri zaidi ya vibao vya sumeria
Ungejiuliza kwanza Wwe hiyo Akili yako
,Ukristo wa Leo umewagawanya Watu na Kuwafamya Wawe na Chuki Kati Yao ,Mkatoliki hawawezi kuoana na Msabato, Msabato hataki kuolewa na Anglicana.
Mmegawanyika Hamna Umoja Wowote ule maana Mnasimamia Kitu kisicho na Ukweli ndani yake.
Haipo Dini Maana Mungu Haitaji Kuabudiwa Katika Dini na Mgawanyike kwa Ajili yake.Dini ipi ambayo haijagawanyika na haina chuki taja moja tu nami nitakuonyesha madhaifu with evidence. Ila usitaje uislam maana huo ndio uozo wa chuki miongoni mwao na hatari kuliko dini nyingjne maana wana madhehebu mengi na wana chuki wazi wazi kwa kuchapa hata dibaji kwenye kitabu chao kuonesha chuki ya kimadhehebu
Hilo siyo tatizo hata uislamu umegawanyika kiasi cha msuni kumuua mshia akiamini ni mpagani hana dini.Ungejiuliza kwanza Wwe hiyo Akili yako
,Ukristo wa Leo umewagawanya Watu na Kuwafamya Wawe na Chuki Kati Yao ,Mkatoliki hawawezi kuoana na Msabato, Msabato hataki kuolewa na Anglicana.
Mmegawanyika Hamna Umoja Wowote ule maana Mnasimamia Kitu kisicho na Ukweli ndani yake.
Hujaijua Mission yao tu. Angalia walivyowekeza ndio utajua. Si kwa ajili ya Mungu bali wao wenyeweKuna elimu na uzushi huku dunia wa kiwango cha kutisha. Ndio maana naelewa kwanini Kanisa Katoliki limewekeza kwenye elimu kubwa kwa mtu kuwa Padre! Miaka kumi ya kumuimarisha na dunia hii ili aweze kutetea imani kikamilifu kwenye kila eneo!
Hii ya kuwa mchungaji within 3 month labda kukemea mapepo tu lakini kuna issues ukikutana na atheists, wana science au historia deep wanakutoa kwenye reli. Kadri werevu wa wana wa nyoka unavyopaa lazima muwe na watumishi walioiva kujibu kila hoja inayochomekwa kwa werevu kuharibu Kanisa na mafundisho yake.
Ndio mjue kwamba kuna Tatizo hapo, si kwamba Tatizo halipo. Mungu hawezi kuabudiwa katika Dini Yeyote ile na Nyie muuane kwa mapanga kwa Ajili yake Yeye. Mungu mwenye vyote hayupo katika Dini. Dini ni mifumo ya Viumbe kuabudiwaHilo siyo tatizo hata uislamu umegawanyika kiasi cha msuni kumuua mshia akiamini ni mpagani hana dini.
Mungu hajawahi kuabudiwa nje ya dini. Labda hujui dini ni nini.Hujaijua Mission yao tu. Angalia walivyowekeza ndio utajua. Si kwa ajili ya Mungu bali wao wenyewe
Ndio mjue kwamba kuna Tatizo hapo, si kwamba Tatizo halipo. Mungu hawezi kuabudiwa katika Dini Yeyote ile na Nyie muuane kwa mapanga kwa Ajili yake Yeye. Mungu mwenye vyote hayupo katika Dini. Dini ni mifumo ya Viumbe kuabudiwa
Njemba Soro.: Mbona hapo hakuna sehemu hata moja fanani amehusisha Quran?, Ebu tujitahidi kujibu au kuchangia kutokana na mada husika tukiwa watu wa namna hii huwa tunaonekana hatuna hoja.