hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Kuna kisa nimekisikia Leo,
Mdada mmoja ameamua kuachana na mpenzi wake ambae wamekuwa kwenye date for six years
Na sababu ya kumuacha man wake ni because ex wa mdada kamwambia kama hatomuacha currently man wake then atamuua
So because that mdada anampenda Sana huyu currently man wake akaamua kumuacha ili kumlinda asiuliwe na yeye mdada akaamua kurudi kwa ex wake
Je wewe msomaji unaweza kufanya maamuzi haya?
Mdada mmoja ameamua kuachana na mpenzi wake ambae wamekuwa kwenye date for six years
Na sababu ya kumuacha man wake ni because ex wa mdada kamwambia kama hatomuacha currently man wake then atamuua
So because that mdada anampenda Sana huyu currently man wake akaamua kumuacha ili kumlinda asiuliwe na yeye mdada akaamua kurudi kwa ex wake
Je wewe msomaji unaweza kufanya maamuzi haya?