Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 6,730
- 12,429
Habari zenu wanamjavi? Natumai mpo salama na mnaelendea vyema na shughuli zenu.Leo naomba tuongelee hili saula la kurudi nyumbani kwa mpenzi wako ukitoka kazini.Hii thread ipo applicable Sana kwa wanaume maana wao ndo wahanga wakubwa wa hili suala.Ila wanawake pia mnaruhusiwa kuchangia hoja zenu.
Katika ndoa nyingi za siku hizi utakuta mtu na mkewe hawaishi sehemu Moja kwa sababu ya kikazi.Tuseme mume anafanya kazi mjini na mkewe Yuko vijijini.Kwahyo mume atakuwa anakuja vijijini kuitembelea familia yake Mara Moja Moja tuseme labda Mara tatu kwa mwaka.
Sasa ishu kuu ipo hapo kwenye "mume kumtembelea mkewe/ mchumba wake huko vijijini" aidha kwa kutoa appointment ama kwa kushtukiza tu bila kumpa taarifa yoyote.Hili la kushtukiza watu wengi huwa hawalipendi maana huenda anayekuja nyumbani akakuta mambo Ni tofauti kbsa na jinsi alivyotarajia.
Yuko rafiki yangu mmoja aliamua kumtembelea mkewe kijijini impromptly kbsa yaan bila kumpa taarifa zozote kwa sababu alijua anaenda nyumbani kwake kwahyo hakuwa na haja ya kumtaarifu mkewe.Jamaa alifika kwake saa tano usiku ila Cha ajabu akamkuta mkewe Yuko na mwanaume mwingine chumbani kwao.Jamaa akaamua kumpa talaka mkewe.
Kwa utafiti niliofanya Mimi,nimegundua kwamba Kati ya ndoa 10 nne huvunjika kwa sababu ya hizi " impromptu visits".Yaani mtu anaenda kwake akijua atakuta Kila kitu kipo sawa kumbe Ni vice versa.Anakuta nyumba Ni chafu,vyombo vichafu,mke mwenyewe amevaa mavazi ya ajabu ajabu,au labda hayupo nyumbani na amewaacha watoto bila chakula au yupo na mwanaume mwingine.Mambo Kama hayo huleta mfarakano kwenye ndoa za watu na kupelekea talaka.
Mimi binafsi siwezi kwenda nyumbani kwa mke wangu bila ya kumpa taarifa maana Hawa Wanawake Ni viumbe wa ajabu Sana na imeandikwa tuishi nao kwa AKILI.
Je,wewe unaweza kumtembelea mume/ mke/ mchumba wako without an Appointment?
Nawasilisha.
Katika ndoa nyingi za siku hizi utakuta mtu na mkewe hawaishi sehemu Moja kwa sababu ya kikazi.Tuseme mume anafanya kazi mjini na mkewe Yuko vijijini.Kwahyo mume atakuwa anakuja vijijini kuitembelea familia yake Mara Moja Moja tuseme labda Mara tatu kwa mwaka.
Sasa ishu kuu ipo hapo kwenye "mume kumtembelea mkewe/ mchumba wake huko vijijini" aidha kwa kutoa appointment ama kwa kushtukiza tu bila kumpa taarifa yoyote.Hili la kushtukiza watu wengi huwa hawalipendi maana huenda anayekuja nyumbani akakuta mambo Ni tofauti kbsa na jinsi alivyotarajia.
Yuko rafiki yangu mmoja aliamua kumtembelea mkewe kijijini impromptly kbsa yaan bila kumpa taarifa zozote kwa sababu alijua anaenda nyumbani kwake kwahyo hakuwa na haja ya kumtaarifu mkewe.Jamaa alifika kwake saa tano usiku ila Cha ajabu akamkuta mkewe Yuko na mwanaume mwingine chumbani kwao.Jamaa akaamua kumpa talaka mkewe.
Kwa utafiti niliofanya Mimi,nimegundua kwamba Kati ya ndoa 10 nne huvunjika kwa sababu ya hizi " impromptu visits".Yaani mtu anaenda kwake akijua atakuta Kila kitu kipo sawa kumbe Ni vice versa.Anakuta nyumba Ni chafu,vyombo vichafu,mke mwenyewe amevaa mavazi ya ajabu ajabu,au labda hayupo nyumbani na amewaacha watoto bila chakula au yupo na mwanaume mwingine.Mambo Kama hayo huleta mfarakano kwenye ndoa za watu na kupelekea talaka.
Mimi binafsi siwezi kwenda nyumbani kwa mke wangu bila ya kumpa taarifa maana Hawa Wanawake Ni viumbe wa ajabu Sana na imeandikwa tuishi nao kwa AKILI.
Je,wewe unaweza kumtembelea mume/ mke/ mchumba wako without an Appointment?
Nawasilisha.