Acha masihara Mkuu. Anatomy gani inasema unaweza kojolea mdomoni? Kama wanakojolea mdomoni, chakula wanalia wapi?
Nilishakutana nao kwenye train mara kibao! Huwa wanalazimisha kuwapa pesa (sadaka) nikawagomea. Waliwaka kinoma...Hawa jamaa ni Mwisho wanaishi katika maisha ambayo inasemekana ni ya Kidini Kihindu.
Huamua kukata sehemu zao za siri na kuishi kama Wanawake,pia huvaa Nguo za Kike yaani Sari.
Jambo la kushangaza hakuna hata NGO moja inayosema kuwa huo ni Ukeketaji na Unyanyasaji wa Kijinsia HIJRA kama wanavyoitwa huko India pia huitwa kwenye Sherehe mbalimbali za Kijamii kama harusi nk.
Mahijra pia hujihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Hivi uliamini [emoji2]Acha masihara Mkuu. Anatomy gani inasema unaweza kojolea mdomoni? Kama wanakojolea mdomoni, chakula wanalia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaah TTCL au ATCL???Uongo mbaya hivi TTCL inaanza lini ruti za INDIA maana Air INDIA nasikia imefulisika.
Utotoni nimewahi kufanya lakini tangu nipate akili sijawahi na sitaki kuwaonja.Lakini hivi umeshawahi kugegeda ngozi nyeusi au bado nakushauri jaribu kugegeda uonea jinsi utakavoukana msimamo wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mm usinisahau mkuuJina lako nimeliandika pembeni nisije nikasahau