Je Unawajua MAHIJRA wa India?!

Je Unawajua MAHIJRA wa India?!

Sir Khan Huwa anafaidi kimya kimya kila wiki anajifungia na Khusra mmoja au wawili halafu anapumzika nao.
Kijana shika adabu yako, watoto wakali wamejaa Bharat halafu nitafute khusra wa nini aisee?
Si bora nitoke na mwanamke wa kibongo japo siwakubali.
 
Si bora nitoke na mwanamke wa kibongo japo siwakubali
Sasa kama wewe ni mbaguzi kwa nini unajifanya kuwatetea CCM na Kutuponda sisi Wapinzani...kwanini usimaind BJP na makhusra.
Eeh!..Bharatiya janata party boy.
 
Sasa kama wewe ni mbaguzi kwa nini unajifanya kuwatetea CCM na Kutuponda sisi Wapinzani...kwanini usimaind BJP na makhusra.
Eeh!..Bharatiya janata party boy.
Mimi sio mbaguzi ila siwakubali(romantically) wanawake wakiafrika na wazungu na siwezi kuoa tofauti na Muhindi,labda Mungu akitaka.
 
Mimi sio mbaguzi ila siwakubali(romantically) wanawake wakiafrika na wazungu na siwezi kuoa tofauti na Muhindi,labda Mungu akitaka.
Huwezi kusema wewe sio mbaguzi lakini blah...blah..blah..kwa hiyo huko CCM imekaa kimaslahi zaidi ili TRA wasikukokotoe.
 
Shukrani ila kuanzia leo nikikuona humu ntakuita Hijra ili tuenzi utamaduni wenu huo
Khusra au jankha ni kwa kipunjab.
Hijra ni kwa kiindustani
Maada ni kwa kiodia.
Aravani ni kwa telugu
Wamekuwapo tangu zama za kale.
Wanapatikana Bharat,Bangladesh,Pakistani na Nepal.
Na huko Bharat wanatambulika kama 'third sex' na passport zao ziko hivyo.
Neno hijra,aravani,maada au khusra linamaanisha 'mister woman'
Wanastahili kuheshimiwa kama unavyowaheshimu watu wa dini au tamaduni tofauti.
Nikipata muda nitaleta uzi kuhusu wale the UNTOUCHABLE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kusema wewe sio mbaguzi lakini blah...blah..blah..kwa hiyo huko CCM imekaa kimaslahi zaidi ili TRA wasikukokotoe.
Mimi sio mbaguzi
Mimi sio ccm
Mimi namtetea Magufuli na serikali maana wanafanya mambo mazuri.
 
Mimi sio mbaguzi
Mimi sio ccm
Mimi namtetea Magufuli na serikali maana wanafanya mambo mazuri.
Mbona Humtetei Narendra Modi ambae anaamini kuwa Wahindu ndio waliogundua Laws of Gravity na Sayansi kwa ujumla na sio Europeans.
 
Ametusumbua sana huyu na Ulumumba wake..kumbe ni mbaguzi wa rangi.
Kwa hiyo mtu ambaye hapendi wanawake wa kibongo(romantically) ni mbaguzi?
Mimi siwezi kuwabagua watanzania maana wao ndio wamenilea na kunipa elimu naanzaje kuwabagua?
Msimamo wangu ni ule ule siwezi kuoa mwanamke wa kiafrika au mzungu,Never!
Nitaoa Mhindi maana hao tu ndo wananivutia sana.
 
Ni kwa vijana wote au baadhi yao tu ndio hufanyiwa hivyo
Katika familia hii jamii huwa wanawachagua vijana wadogo sana,kisha hufanya sherehe kubwa sana ikiambatana kuwakata uume wao.

Baada ya hapo huwachomekea mpingo uliochongwa Vizuri katika njia ya haja kubwa hadi Damu inapowatoka...ndipo Vigelegele hupigwa na inasemekana damu ikitoka kijana anavunjika na kuwa mwanamke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom