Je Unawajua MAHIJRA wa India?!

Je Unawajua MAHIJRA wa India?!

Colombe Akiwacu.jpg
3df1d4b96d8976ff5986393e8767f5b2.jpg

Chocolate Colour angalia Vitu adimu
 
Hapa kwenye suala la ngozi, kila mtu ana hiari yake. Muhimu ni wewe mwenyewe kujiamini. Tazama kwa makini ile picha ya mwanamke muhindi mweusi. Angalia jinsi anvyojiamini na alivyokodolea macho dunia bila ya uoga!!! Yeye amejipamba vizuri kama wanawake warembo wengine, in spite of her dark skin. Na mpa 100 kwa 100 mwanamke huyo kwa kujiamini! Sisi pia tunatakiwa tuige mfano yake ya kujiamini na tusishobokee ovyo ngozi nyeupe!!
 
Mzee ulitakiwa uweke maelezo ya kutosha juu ya hawa watu kama vile; kwa nn wanafanya hivyo,lengo lao lipo katika mkutadha wa kiimani,kimila au in mtindo tu wa maisha yao.
Mkuu nimeamua kuishia hapa ili nisiwakwaze zaidi watu wa madhehebu ya kihindu.
 
Kwa hiyo mtu ambaye hapendi wanawake wa kibongo(romantically) ni mbaguzi?
Mimi siwezi kuwabagua watanzania maana wao ndio wamenilea na kunipa elimu naanzaje kuwabagua?
Msimamo wangu ni ule ule siwezi kuoa mwanamke wa kiafrika au mzungu,Never!
Nitaoa Mhindi maana hao tu ndo wananivutia sana.
Ila pasi zao sio za kitotoo!!, Wahindi sura tu, huko kwingine maelewano, utajazia jazia mwenyewe...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Khusra au jankha ni kwa kipunjab.
Hijra ni kwa kiindustani
Maada ni kwa kiodia.
Aravani ni kwa telugu
Wamekuwapo tangu zama za kale.
Wanapatikana Bharat,Bangladesh,Pakistani na Nepal.
Na huko Bharat wanatambulika kama 'third sex' na passport zao ziko hivyo.
Neno hijra,aravani,maada au khusra linamaanisha 'mister woman'
Wanastahili kuheshimiwa kama unavyowaheshimu watu wa dini au tamaduni tofauti.
Nikipata muda nitaleta uzi kuhusu wale the UNTOUCHABLE.
Hawa nimewaona sana India. Wanaomba omba barabarani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DIVcRghXoAIgaJ2.jpg-large.jpg

Haya mambo yameshakuwa ya kawaida wanawake wa siku hizi huenda wanaringa sana.au mikorogo imekuwa too much.
 
Back
Top Bottom