Je Unawajua MAHIJRA wa India?!

Je Unawajua MAHIJRA wa India?!

Katika familia hii jamii huwa wanawachagua vijana wadogo sana,kisha hufanya sherehe kubwa sana ikiambatana kuwakata uume wao.

Baada ya hapo huwachomekea mpingo uliochongwa Vizuri katika njia ya haja kubwa hadi Damu inapowatoka...ndipo Vigelegele hupigwa na inasemekana damu ikitoka kijana anavunjika na kuwa mwanamke.
Duhh!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna baadhi ya Picha za HIJRA wakati wanakatwa Uume kwakweli huwezi kuziweka hapa...anyway lakini wao wanasema wanamuenzi moja ya miungu wa Kihindu.
Wanakatwa bila ganzi kama wamasai au inakuaje?
 
Ukileta uzi was UNTOUCHABLE naomba unitag Mkuu
Khusra au jankha ni kwa kipunjab.
Hijra ni kwa kiindustani
Maada ni kwa kiodia.
Aravani ni kwa telugu
Wamekuwapo tangu zama za kale.
Wanapatikana Bharat,Bangladesh,Pakistani na Nepal.
Na huko Bharat wanatambulika kama 'third sex' na passport zao ziko hivyo.
Neno hijra,aravani,maada au khusra linamaanisha 'mister woman'
Wanastahili kuheshimiwa kama unavyowaheshimu watu wa dini au tamaduni tofauti.
Nikipata muda nitaleta uzi kuhusu wale the UNTOUCHABLE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila khusra ni muumini wa mungu wa Kihindu SHIVA ambaye ni 'Ardhunasirvara' yaani nusu jike nusu Dume

Mimi najaribu kujiuliza je SHIVA alikuwa pia anaruhusu mapenzi ya jinsia Moja?!
Sir Khan
 
Sir Khan Huwa anafaidi kimya kimya kila wiki anajifungia na Khusra mmoja au wawili halafu anapumzika nao.
Kijana shika adabu yako, watoto wakali wamejaa Bharat halafu nitafute khusra wa nini aisee?
Si bora nitoke na mwanamke wa kibongo japo siwakubali.
 
Back
Top Bottom