imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,436
- Thread starter
- #21
Kumbuka sisi dini zetu zinalipinga hili jambo lakini wao dini yao inaruhusu kwa hiyo unashangazwa na nini?!Kwa hyo huo ni utamaduni nzuri mkuu?
Tamaduni za kishoga kabisa hizi,hii imezidi mkuu.
Ila ningekuwa nipo nao nawaelimisha basi nisingesema hivi,ningeongea nao kistaarabu.
Ila kama hapa bhana huuo ni ukhanithi hasa
Sent using Jamii Forums mobile app