Je Unawajua MAHIJRA wa India?!

Je Unawajua MAHIJRA wa India?!

India mpaka leo kuna watu Vijijini Mume akifa anazikwa na Mkewe aliye hai..ila Serikali ya Congress ilipiga marufuku.

Dini ya kihindu sio mchezo.
 
Mkuu fafanua kidogo uyo atal behari ni nani na kafanya nni.samahan mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri Mkuu wa India ambae kwa sasa ni Marehemu alitoka kwenye Chama cha Kihindu cha BJP.
91Vqu000iNL._UX250_.jpg
 
nimejaribu kupata taarifa zao zinatisha kwa kweli

Mambo mengine ni bora usiyafahamu ubaki na ujinga wako
 
Mahatma_Gandhi_and_Manibehn_Patel_before_his_departure_to_Europe,_1931-1.jpg

Marehemu Mahatma Ghandi hakuwa na Noma na kwa Makhusra.
 
Back
Top Bottom