Je unajua maziwa makubwa duniani yako Marekani? Na yote yameunganiswa na mifereji

ward41

JF-Expert Member
Apr 3, 2022
397
1,394
Screenshot_20240215-121023.jpg


Kuna propaganda kubwa sana wa Africa IPO miongoni. Tumeaminishwa kwamba utajiri wa marekani unatokana na wizi wa madini Africa bila kujua kwamba marekani kuna kila aina ya malighafi.

Wengi wetu ukitaja maziwa makuu, atakwambia ziwa Victoria, Tanganyika, Nyasa. Tumedanganywa sana. Maziwa makubwa duniani ya napatikana nchini Marekani.
Haya maziwa ni Michigan, Ontario, superior, Huron na Erie. Haya maziwa ni makubwa kuliko Victoria, Tanganyika na Nyassa.

Cha ajabu haya maziwa yameunganishwa na mfumo wa mifereji (plates) . Yaani meli inaweza kusafiri kutoka ziwa Victoria hadi Tanganyika hapa katikati wakachimba mifereji na kujaza maji na ikaendelea na safari hadi ziwa nyasa kwa njia hiyo hiyo. Wanachifanya ni kwamba pakiwa mlima, meli inaingia, kwenye kitu kama tenki, alafu maji Yanajazwa hadi wanafika kwenye sehemu tambalare ambako kunakuwa na Mfereji.

Kwa hiyo meli husafiri kwa njia hiyo kutoka sehemu moja Hadi sehemu Nyingine. Kwenye ubunifu kama huu, kwanini wasipate Maendeleo. Kuna mengi Sana ya kunifunza kuto USA kuliko kubisha tu. Hawa jamaa wanastahili hayo Maendeleo. Ni wabunifu Sana
 
Ndugu kuna mambo mengi waafrika atujui kuhusu Marekani.Kuiringanisha Marekani na Tanzania n dhambi, marekani ni muungano wa mataifa takribani 16.Ni Taifa lenye watu wengi wabunifu na wenye akili kubwa,Marekani inakaribia ya kila kabila au Taifa ndani yake.So tujiringanishe labda na Congo au Somalia
 
View attachment 2904857

Kuna propaganda kubwa sana wa Africa IPO miongoni. Tumeaminishwa kwamba utajiri wa marekani unatokana na wizi wa madini Africa bila kujua kwamba marekani kuna kila aina ya malighafi.

Wengi wetu ukitaja maziwa makuu, atakwambia ziwa Victoria, Tanganyika, Nyasa. Tumedanganywa sana. Maziwa makubwa duniani ya napatikana nchini Marekani.
Haya maziwa ni Michigan, Ontario, superior, Huron na Erie. Haya maziwa ni makubwa kuliko Victoria, Tanganyika na Nyassa.

Cha ajabu haya maziwa yameunganishwa na mfumo wa mifereji (plates) . Yaani meli inaweza kusafiri kutoka ziwa Victoria hadi Tanganyika hapa katikati wakachimba mifereji na kujaza maji na ikaendelea na safari hadi ziwa nyasa kwa njia hiyo hiyo. Wanachifanya ni kwamba pakiwa mlima, meli inaingia, kwenye kitu kama tenki, alafu maji Yanajazwa hadi wanafika kwenye sehemu tambalare ambako kunakuwa na Mfereji.

Kwa hiyo meli husafiri kwa njia hiyo kutoka sehemu moja Hadi sehemu Nyingine. Kwenye ubunifu kama huu, kwanini wasipate Maendeleo. Kuna mengi Sana ya kunifunza kuto USA kuliko kubisha tu. Hawa jamaa wanastahili hayo Maendeleo. Ni wabunifu Sana
Tanganyika inabaki ziwa lenye kina kirefu duniani.

Sisi tunasubiri kuvumbuliwa
 
View attachment 2904857

Kuna propaganda kubwa sana wa Africa IPO miongoni. Tumeaminishwa kwamba utajiri wa marekani unatokana na wizi wa madini Africa bila kujua kwamba marekani kuna kila aina ya malighafi.

Wengi wetu ukitaja maziwa makuu, atakwambia ziwa Victoria, Tanganyika, Nyasa. Tumedanganywa sana. Maziwa makubwa duniani ya napatikana nchini Marekani.
Haya maziwa ni Michigan, Ontario, superior, Huron na Erie. Haya maziwa ni makubwa kuliko Victoria, Tanganyika na Nyassa.

Cha ajabu haya maziwa yameunganishwa na mfumo wa mifereji (plates) . Yaani meli inaweza kusafiri kutoka ziwa Victoria hadi Tanganyika hapa katikati wakachimba mifereji na kujaza maji na ikaendelea na safari hadi ziwa nyasa kwa njia hiyo hiyo. Wanachifanya ni kwamba pakiwa mlima, meli inaingia, kwenye kitu kama tenki, alafu maji Yanajazwa hadi wanafika kwenye sehemu tambalare ambako kunakuwa na Mfereji.

Kwa hiyo meli husafiri kwa njia hiyo kutoka sehemu moja Hadi sehemu Nyingine. Kwenye ubunifu kama huu, kwanini wasipate Maendeleo. Kuna mengi Sana ya kunifunza kuto USA kuliko kubisha tu. Hawa jamaa wanastahili hayo Maendeleo. Ni wabunifu Sana
Hayo Maziwa uliyoyataja yote yapo ukanda moja hivyo ni rahisi kuyainganisha kwa mifereji tofauti na Maziwa yetu makuu. Umbali wa kutoka Ziwa Victoria hadi Ziwa Tanganyika siyo wa kitoto. Na pia kutoka Tanganyika hadi uipate Nyasa ni msala mwingine. Lakini pia hakuna umuhimu wa kiuchumi wa kuingia gharama kuyaunganisha maziwa yetu makuu.
 
Kwanza wewe unachanganya jiografia ya Afrika na ya Marekani, hayo maziwa makuu ya Marekani yanajulikana na hata sisi wazee tumesoma zamani sana kuhusu maziwa hayo. Sidhani kama yule aliyesoma kuwa ziwa Victoria ndiyo kubwa kuliko yote duniani, labda ziwa Tanganyika ambalo ni la pili kwa kina kirefu.

Pili, Mmarekani mweupe hakuiba Afrika bali amewaibia wahindi wekundu kwa kuwaibia ardhi na hata nchi yao, hebu soma vizuri historia yako. Walioiba rasilimali ni Waingereza (kwenye makoloni yao hasa India), na Wafaransa (mpaka leo hii wanawaibia).

Nadhani ndiyo kwanza kusafiri kwa hivyo kila kitu unaona ajabu na unadhani watu wote ni wapori pori kama wewe.
 
View attachment 2904857

Kuna propaganda kubwa sana wa Africa IPO miongoni. Tumeaminishwa kwamba utajiri wa marekani unatokana na wizi wa madini Africa bila kujua kwamba marekani kuna kila aina ya malighafi.

Wengi wetu ukitaja maziwa makuu, atakwambia ziwa Victoria, Tanganyika, Nyasa. Tumedanganywa sana. Maziwa makubwa duniani ya napatikana nchini Marekani.
Haya maziwa ni Michigan, Ontario, superior, Huron na Erie. Haya maziwa ni makubwa kuliko Victoria, Tanganyika na Nyassa.

Cha ajabu haya maziwa yameunganishwa na mfumo wa mifereji (plates) . Yaani meli inaweza kusafiri kutoka ziwa Victoria hadi Tanganyika hapa katikati wakachimba mifereji na kujaza maji na ikaendelea na safari hadi ziwa nyasa kwa njia hiyo hiyo. Wanachifanya ni kwamba pakiwa mlima, meli inaingia, kwenye kitu kama tenki, alafu maji Yanajazwa hadi wanafika kwenye sehemu tambalare ambako kunakuwa na Mfereji.

Kwa hiyo meli husafiri kwa njia hiyo kutoka sehemu moja Hadi sehemu Nyingine. Kwenye ubunifu kama huu, kwanini wasipate Maendeleo. Kuna mengi Sana ya kunifunza kuto USA kuliko kubisha tu. Hawa jamaa wanastahili hayo Maendeleo. Ni wabunifu Sana
Nilitaka nibishane kumbe unaongelwa lakes nilidhan maziwa makubwa kama shishi
 
Ndugu kuna mambo mengi waafrika atujui kuhusu Marekani.Kuiringanisha Marekani na Tanzania n dhambi, marekani ni muungano wa mataifa takribani 16.Ni Taifa lenye watu wengi wabunifu na wenye akili kubwa,Marekani inakaribia ya kila kabila au Taifa ndani yake.So tujiringanishe labda na Congo au Somalia
Daaah
 
View attachment 2904857

Kuna propaganda kubwa sana wa Africa IPO miongoni. Tumeaminishwa kwamba utajiri wa marekani unatokana na wizi wa madini Africa bila kujua kwamba marekani kuna kila aina ya malighafi.

Wengi wetu ukitaja maziwa makuu, atakwambia ziwa Victoria, Tanganyika, Nyasa. Tumedanganywa sana. Maziwa makubwa duniani ya napatikana nchini Marekani.
Haya maziwa ni Michigan, Ontario, superior, Huron na Erie. Haya maziwa ni makubwa kuliko Victoria, Tanganyika na Nyassa.

Cha ajabu haya maziwa yameunganishwa na mfumo wa mifereji (plates) . Yaani meli inaweza kusafiri kutoka ziwa Victoria hadi Tanganyika hapa katikati wakachimba mifereji na kujaza maji na ikaendelea na safari hadi ziwa nyasa kwa njia hiyo hiyo. Wanachifanya ni kwamba pakiwa mlima, meli inaingia, kwenye kitu kama tenki, alafu maji Yanajazwa hadi wanafika kwenye sehemu tambalare ambako kunakuwa na Mfereji.

Kwa hiyo meli husafiri kwa njia hiyo kutoka sehemu moja Hadi sehemu Nyingine. Kwenye ubunifu kama huu, kwanini wasipate Maendeleo. Kuna mengi Sana ya kunifunza kuto USA kuliko kubisha tu. Hawa jamaa wanastahili hayo Maendeleo. Ni wabunifu Sana
Alisikika Marekani mweusi toka Kongwa Idodomiya baada kupona Red eyes

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom