TBS na TMDA mikate ya maziwa ina ubora na viwango stahiki kuliwa na binadamu?

Shagiguku

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
407
133
Hello wananzengo wa Tanzania popote mlipo duniani. Nautupia huu uzi humu ili tuujadili kwa pamoja.

Kumeibuka wimbi la "Mikate ya Maziwa" hapa nchini. Kila sehemu ipo inauzwa.

Maswali yangu machache kwa mamlaka za udhibiti ubora (TMDA na TBS) ni haya:

1. Je, tuna taarifa za kutosha juu ya ukweli wa uwemo wa maziwa kwenye mikate hiyo? Ama wananzengo tunalishwa kemikali za kichina nanyi mkiwepo kama wapenzi watazamaji!

2. Baadhi ya wazalishaji wa mikate hiyo ya maziwa wanatumia hadi logo yenu kwenye vifungashio vyao kuonesha kwamba wamethibitishwa na ninyi. Je, ni kweli mmewathibitishia ubora wa mikate hii?

3. Je, ni kweli kwamba mwananzengo mimi leo nikisema niende kwenye kiwanda kimojawapo cha uzalidhaji wa mikate ya maziwa nitayakuta hayo maziwa ya kweli yapo kwenye ma-container ya kuhifadhia yakisubiri kutumika kutengenezamikate hiyo?

4. Na kama yapo hayo maziwa ya ukweli, je, mamlaka zetu za udhibiti (TMDA na TBS) mmejiridhisha kuwa ni maziwa ya mnyama gani?

5. Je, huku mtaaani kuna mwananzengo yeyote anaye-supply maziwa ya ukweli kwa hawa wazalishaji wa mikate ya maziwa angalau atuthibitishie kuwa ni kweli huwa anapeleka maziwa ya ukweli kwa mmoja wa wazalishaji mikate ya maziwa ili kututoa wasiwasi?
 
Maziwa yatakuwa yanawekwa hata ya kuzugia tu upate ladha
 
Hello wanaNzengo wa Tanzania popote mlipo duniani. Nautupia huu uzi humu ili tuujadili kwa pamoja.

Kumeibuka wimbi la "MIKATE YA MAZIWA" hapa nchini. Kila sehemu ipo inauzwa.

Maswali yangu machache kwa mamlaka za udhibiti ubora (TMDA na TBS) ni haya:

1. Je, tuna taarifa za kutosha juu ya ukweli wa uwemo wa MAZIWA kwenye mikate hiyo??? Ama wanaNzengo tunalishwa kemikali za kichina nanyi mkiwepo kama wapenzi watazamaji....!!

2. Baadhi ya wazalishaji wa mikate hiyo ya "MAZIWA" wanatumia hadi logo yenu kwenye vifungashio vyao kuonesha kwamba wamethibitishwa na ninyi. Je, ni kweli mmewathibitishia ubora wa "MIKATE YA MAZIWA???"

3. Je, ni kweli kwamba mwanaNzengo mimi leo nikisema niende kwenye kiwanda kimojawapo cha uzalidhaji wa "MIKATE YA MAZIWA" nitayakuta hayo maziwa ya kweli yapo kwenye ma-CONTAINER ya kuhifadhia yakisubiri kutumika kutengeneza "MIKATE YA MAZIWA???"

4. Na kama yapo hayo maziwa ya ukweli. Je, mamlaka zetu za udhibiti (TMDA na TBS) mmejiridhisha kuwa ni maziwa ya MNYAMA gani....!!!????

5. Je, huku mtaaani kuna mwanaNzengo yeyote anaye-SUPPLY maziwa ya ukweli kwa hawa wazalishaji wa "MIKATE YA MAZIWA" angalau atuthibitishie kuwa ni kweli anapelekaGa maziwa ya ukweli kwa mmoja wa wazalishaji "MIKATE YA MAZIWA" ili kututoa wasiwasi???

TMDA hawaingii hapo.Waulize TBS
 
TMDA HAIHUSIKI NA CHAKULA SIKU HIZI IZO ZA VYAKULA NA BIDHAA NYINGINE WAHOJI TBS TMDA INA DEAL NA DAWA NAVIFAA TIBA NDIO MAANA INAITWA TMDA NA SIO TFDA MKUU
 
Hii ni kasumba ile ile ya mwafrika. "We eat what we don't produce and we don't eat what we produce".

Kasumba nyingine ni "kunya anye kuku (mzungu), akinya bata (mwafrika) kaharisha".

Hii mikate ingeandikwa "made in (alny western country)" wala huu uzi usingekuwepo. Lkn kwa kuwa inatengenezwa na mwafulani wa (mtaa, Kijiji, kata, wilaya, mkoa ama jii la pili) nongwa imezuka.
 
Hello wananzengo wa Tanzania popote mlipo duniani. Nautupia huu uzi humu ili tuujadili kwa pamoja.

Kumeibuka wimbi la "Mikate ya Maziwa" hapa nchini. Kila sehemu ipo inauzwa.

Maswali yangu machache kwa mamlaka za udhibiti ubora (TMDA na TBS) ni haya:

1. Je, tuna taarifa za kutosha juu ya ukweli wa uwemo wa maziwa kwenye mikate hiyo? Ama wananzengo tunalishwa kemikali za kichina nanyi mkiwepo kama wapenzi watazamaji!

2. Baadhi ya wazalishaji wa mikate hiyo ya maziwa wanatumia hadi logo yenu kwenye vifungashio vyao kuonesha kwamba wamethibitishwa na ninyi. Je, ni kweli mmewathibitishia ubora wa mikate hii?

3. Je, ni kweli kwamba mwananzengo mimi leo nikisema niende kwenye kiwanda kimojawapo cha uzalidhaji wa mikate ya maziwa nitayakuta hayo maziwa ya kweli yapo kwenye ma-container ya kuhifadhia yakisubiri kutumika kutengenezamikate hiyo?

4. Na kama yapo hayo maziwa ya ukweli, je, mamlaka zetu za udhibiti (TMDA na TBS) mmejiridhisha kuwa ni maziwa ya mnyama gani?

5. Je, huku mtaaani kuna mwananzengo yeyote anaye-supply maziwa ya ukweli kwa hawa wazalishaji wa mikate ya maziwa angalau atuthibitishie kuwa ni kweli huwa anapeleka maziwa ya ukweli kwa mmoja wa wazalishaji mikate ya maziwa ili kututoa wasiwasi?
Hizo ni flavours tu na hakuna maziwa yanayowekwa kwenye mikate
 
Hello wananzengo wa Tanzania popote mlipo duniani. Nautupia huu uzi humu ili tuujadili kwa pamoja.

Kumeibuka wimbi la "Mikate ya Maziwa" hapa nchini. Kila sehemu ipo inauzwa.

Maswali yangu machache kwa mamlaka za udhibiti ubora (TMDA na TBS) ni haya:

1. Je, tuna taarifa za kutosha juu ya ukweli wa uwemo wa maziwa kwenye mikate hiyo? Ama wananzengo tunalishwa kemikali za kichina nanyi mkiwepo kama wapenzi watazamaji!

2. Baadhi ya wazalishaji wa mikate hiyo ya maziwa wanatumia hadi logo yenu kwenye vifungashio vyao kuonesha kwamba wamethibitishwa na ninyi. Je, ni kweli mmewathibitishia ubora wa mikate hii?

3. Je, ni kweli kwamba mwananzengo mimi leo nikisema niende kwenye kiwanda kimojawapo cha uzalidhaji wa mikate ya maziwa nitayakuta hayo maziwa ya kweli yapo kwenye ma-container ya kuhifadhia yakisubiri kutumika kutengenezamikate hiyo?

4. Na kama yapo hayo maziwa ya ukweli, je, mamlaka zetu za udhibiti (TMDA na TBS) mmejiridhisha kuwa ni maziwa ya mnyama gani?

5. Je, huku mtaaani kuna mwananzengo yeyote anaye-supply maziwa ya ukweli kwa hawa wazalishaji wa mikate ya maziwa angalau atuthibitishie kuwa ni kweli huwa anapeleka maziwa ya ukweli kwa mmoja wa wazalishaji mikate ya maziwa ili kututoa wasiwasi?
Hayo maziwa yanayouzwa mitaani asilimia kubwa si salama yamechezewa, na ukithubutu kuyanywa siku hiyo hautatoka nyumbani kwako, kutokana na hali hiyo mimi si rahisi kununua mikate ya maziwa kama inavyoitwa.
TBS na TMDA ni vyombo ambavyo naona vimejitoa kusimamia bidhaa kutokana na uzembe wao, huku madukani bidhaa za nafaka huwa zimepakwa mafuta ya upako ili zing'ae mafuta ambayo hatujui yanatokana na nini! Wananchi tumelalamika sana lakini TBS na TMDA wameuchuna.
 
Back
Top Bottom