Je, Unaiamini Condom?

Je, Unaiamini Condom?

comment hii kutoka kwako si jambo dogo,je huamin katika uwepo wa ukimwi?

Si kwamba siamini la hasha ila kuna mkanganyiko mkubwa sana kuhusu huu ugonjwa Africa journal ilishawahi kulijadili hili kwa mapana yake
 
mshana jr,kwa heshima yako,usijibu kichinichini,quote kidogo hyo journal alaf tupe experience yako,watu wanakutegema humu,wanasubiri kauli yako
 
Kufanya mapenzi ni kitu cha kisaikologia kwanza. Kitendo cha kujua huyu mtu keshaathirika kinaua saikologia nzima ya mapenzi hivyo hata condom unakuwa unahamu ya kuitumia. Lakini ki ukweli, Kama si condom (naongea kibinadamu) hali ya Ukimwi ingekuwa mbaya sana. Usiache kuitumia kama huwezi kujizuia
Je ukipewa condom ukaambiwa nenda kafanye mapenzi na mtu alie athirika na UKIMWI
Utaenda?

Ninauliza hivi kwa maana wengi huwa tunatumia condom kwa kuwa tu hatuna uhakika na usalama wa mtu unae shiriki nae tendo.

Ila ki ukweli ungekuwa unajua dhahiri kuwa mtu unae enda kulala nae tayari ana ngoma hata hiyo condom ukipewa uta du kweli?
 
Inasidia kupunguza kasi ya masmbukizi lakini sio kuzuia kabisa kwaiyo ukijua huwez kwanza hataujasiri huwez kuwa nao
 
Je ukipewa condom ukaambiwa nenda kafanye mapenzi na mtu alie athirika na UKIMWI
Utaenda?

Ninauliza hivi kwa maana wengi huwa tunatumia condom kwa kuwa tu hatuna uhakika na usalama wa mtu unae shiriki nae tendo.

Ila ki ukweli ungekuwa unajua dhahiri kuwa mtu unae enda kulala nae tayari ana ngoma hata hiyo condom ukipewa uta du kweli?

kiualisia haiwezekani kwenda na mtu unaejua ana maabukizi.
 
Hii kitu naiheshimu sana naipenda, naithamini, thamani yake sijawai iona popote.
 
Back
Top Bottom