Je, Unaiamini Condom?

Je, Unaiamini Condom?

Sijawai kuziona condom za kike hivi zinafananaje? Nilihudhuria semina ya ukimwi bahati mbaya mseminishaji alisahau kuja na ya kike, alikuwa na moja tu ya kiume. Ila nahisi zitakuwa kama bikini. Mwenye picha anisaidie
 
Natumia condom napo kutana na demu mwanafunzi tu
 
Tukienda nyuma sana mnamo mwaka 1494 ugonjwa wa kaswende ulipatikana kwa wanajeshi wa ufaransa, ugonjwa huu ulikuwa ni mbaya sana kiasi ambacho ukiupata unatokwa na upele mwili mzima na kuanza kutoa usaha baada ya hapo ngozi huanza kutoka yote kuanzia usoni na baada ya miezi mitatu kwaheriiii!!

Kuna mtu alitengeneza vitambaa na kuviwekea chemical fulani na kujaribishia watu 1100 na kuona haiambukizi ( walivaa kama condom ila kwa kuwa ni kitambaa wanafunga na ribbon)
Condom zilianza miaka ya 1642 wakitumia utumbo wa Mbuzi na wanyama wengine(usicheke) kwa wanaume na kwa wanawake walitumia vibofu vya wanyama kuzuia mimba. Pia walitumia kwa kujikinga na maradhi.


Kwa hiyo swali lako hilo wengi hupuuza na kujipa faraja kuwa aah anasingiziwa

asante nami naijuia hii. pia napenda SAA condom
 
Nilikua naziamini sana na kuzitetea kuwa ni salama lkn iliponipasukia bila kujua wakat nipo mzigoni imani nazo imeisha kabisaa" Mungu ndio ananilinda
 
Back
Top Bottom