Je, Unaiamini Condom?

Je, Unaiamini Condom?

Je ukipewa condom ukaambiwa nenda kafanye mapenzi na mtu alie athirika na UKIMWI
Utaenda?

Ninauliza hivi kwa maana wengi huwa tunatumia condom kwa kuwa tu hatuna uhakika na usalama wa mtu unae shiriki nae tendo.

Ila ki ukweli ungekuwa unajua dhahiri kuwa mtu unae enda kulala nae tayari ana ngoma hata hiyo condom ukipewa uta du kweli?

Ukimwi siku hizi sawa na mafua tuu niamini lipira la kazi gani? Si asavali nikapige puchu kuliko kujichafua!!!
 
Je ukipewa condom ukaambiwa nenda kafanye mapenzi na mtu alie athirika na UKIMWI
Utaenda?

Ninauliza hivi kwa maana wengi huwa tunatumia condom kwa kuwa tu hatuna uhakika na usalama wa mtu unae shiriki nae tendo.

Ila ki ukweli ungekuwa unajua dhahiri kuwa mtu unae enda kulala nae tayari ana ngoma hata hiyo condom ukipewa uta du kweli?


Kutumia condom kunahitaji yafuatayo yatimie
1. Lazima mtumiaji awe na mashaka na mwenzie
2. Kusiwe na uhakika kwamba mwenzi anao kwa kuonyeshwa vyeti au muathirika kusema
Katika mazingira yafuatayo kondomu hutumika
1. Kila mmoja kapima na wote wna uhakika hakuna aliyeathirika kati yao

NB Yote tisa, kumi ni kwamba mwenye ukimwi na akakonda kama walivyokuwa wanakonda wale waliokuwa na ukimwi enzi zile HAKUNA ATAKAYEJARIBU KUGEGEDANA NA MTU HUYU... LEAVE ALONE KUTAUMIA KONDOM
 
Pamoja na yote hayo mshana jr kuna condom zinauzwa 3pc kwa shs 500/- na zipo zinazouzwa 3pc kwa shs 7500/-, nini maana yake?
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na yote hayo mshana jr kuna condom zinauzwa 3pc kwa shs 500/- na zipo zinazouzwa 3pc kwa shs 7500/-, nini maana yake?

Kucheza na akili zetu ni ile tunaweza ita VIP syndrome kwamba safari ya 2500/= mabibo ni tofauti na safari ya 5000/= sea cliff
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na yote hayo mshana jr kuna condom zinauzwa 3pc kwa shs 500/- na zipo zinazouzwa 3pc kwa shs 7500/-, nini maana yake?

zipo za shs 300 na zipo za bure kabisa unapewa boksi zima bure
 
Last edited by a moderator:
Condom sio kwa ajili ya kuzuia Ukimwi.

Mnaotumia mnajipa matumaini tu bure.
 
Je ukipewa condom ukaambiwa nenda kafanye mapenzi na mtu alie athirika na UKIMWI
Utaenda?

Ninauliza hivi kwa maana wengi huwa tunatumia condom kwa kuwa tu hatuna uhakika na usalama wa mtu unae shiriki nae tendo.

Ila ki ukweli ungekuwa unajua dhahiri kuwa mtu unae enda kulala nae tayari ana ngoma hata hiyo condom ukipewa uta du kweli?

Tukija kwenye uhalisia ni kitu am ambacho hakiwezekani
 
Mi naziamini condom kabisa,ukifuata masharti huwezi ambukizwa virusi.Tatizo unakuta mtu katoka kunyoa ma###''zi kwa kutumia wembe au hair removal cream halaf anaenda kucheza game siku hiyo hiyo,hapo lazima upate kama partner wako ana sumu mwilini mwake.Ni muhim sana kujikagua ili kuhakikisha hauna mchubuko wowote katika genital area kama una penda kucheza game za ugenini kwa sababu virus hupitia humo.

Napenda kutumia condom pia kwa sababu ina punguza sensitivity wakati wa game na kuniwezesha kucheza kwa muda mrefu kidogo bila kupiga bao especially zile zinazobana kwa sana kama upo naturally gifted.

Ni hayo tu.
 
Je ukipewa condom ukaambiwa nenda kafanye mapenzi na mtu alie athirika na UKIMWI
Utaenda?

Ninauliza hivi kwa maana wengi huwa tunatumia condom kwa kuwa tu hatuna uhakika na usalama wa mtu unae shiriki nae tendo.

Ila ki ukweli ungekuwa unajua dhahiri kuwa mtu unae enda kulala nae tayari ana ngoma hata hiyo condom ukipewa uta du kweli?

Tukienda nyuma sana mnamo mwaka 1494 ugonjwa wa kaswende ulipatikana kwa wanajeshi wa ufaransa, ugonjwa huu ulikuwa ni mbaya sana kiasi ambacho ukiupata unatokwa na upele mwili mzima na kuanza kutoa usaha baada ya hapo ngozi huanza kutoka yote kuanzia usoni na baada ya miezi mitatu kwaheriiii!!

Kuna mtu alitengeneza vitambaa na kuviwekea chemical fulani na kujaribishia watu 1100 na kuona haiambukizi ( walivaa kama condom ila kwa kuwa ni kitambaa wanafunga na ribbon)
Condom zilianza miaka ya 1642 wakitumia utumbo wa Mbuzi na wanyama wengine(usicheke) kwa wanaume na kwa wanawake walitumia vibofu vya wanyama kuzuia mimba. Pia walitumia kwa kujikinga na maradhi.


Kwa hiyo swali lako hilo wengi hupuuza na kujipa faraja kuwa aah anasingiziwa
 
Tukienda nyuma sana mnamo mwaka 1494 ugonjwa wa kaswende ulipatikana kwa wanajeshi wa ufaransa, ugonjwa huu ulikuwa ni mbaya sana kiasi ambacho ukiupata unatokwa na upele mwili mzima na kuanza kutoa usaha baada ya hapo ngozi huanza kutoka yote kuanzia usoni na baada ya miezi mitatu kwaheriiii!!

Kuna mtu alitengeneza vitambaa na kuviwekea chemical fulani na kujaribishia watu 1100 na kuona haiambukizi ( walivaa kama condom ila kwa kuwa ni kitambaa wanafunga na ribbon)
Condom zilianza miaka ya 1642 wakitumia utumbo wa Mbuzi na wanyama wengine(usicheke) kwa wanaume na kwa wanawake walitumia vibofu vya wanyama kuzuia mimba. Pia walitumia kwa kujikinga na maradhi.


Kwa hiyo swali lako hilo wengi hupuuza na kujipa faraja kuwa aah anasingiziwa

Duh aisee! That one Very interesting. Th histr of condoms Startin frm 1642! Sikuwa jua hii!
 
Back
Top Bottom