Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,000
- 828,770
Je ukipewa condom ukaambiwa nenda kafanye mapenzi na mtu alie athirika na UKIMWI
Utaenda?
Ninauliza hivi kwa maana wengi huwa tunatumia condom kwa kuwa tu hatuna uhakika na usalama wa mtu unae shiriki nae tendo.
Ila ki ukweli ungekuwa unajua dhahiri kuwa mtu unae enda kulala nae tayari ana ngoma hata hiyo condom ukipewa uta du kweli?
Ukimwi siku hizi sawa na mafua tuu niamini lipira la kazi gani? Si asavali nikapige puchu kuliko kujichafua!!!