Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,328
- 115,336
Habarini Wakuu.
Ni muda kidogo kuna nyumba moja niliwahi kufika, hiyo nyumba si nyumba kubwa sana ila sebule ni kubwa hivyo mwenye nyumba akaamua kutenga sehemu ambacho ameweka meza ya kulia chakula.
Muda niliofika haukuwa muda wa kula lakini nilichokikuta pale juu ya meza pana bakuli ya kuonyesha lenye mfuniko ndani lina maandazi, kuna chupa za chai na si moja, hotpot pia si moja, nikaona vijiko, kikopo cha sukari, sahani kadhaa kazibebeshea hapo mezani yaani kiufupi meza ilijaa.
Na hiki ndio kimefanya nije na huu uzi wakuu
- Je meza ya kulia chakula inapaswa kuwa vile muda wote?
- Kama sio inapaswa iwe na vitu gani ule muda ambao si wa watu kupata chakula?
Ni muda kidogo kuna nyumba moja niliwahi kufika, hiyo nyumba si nyumba kubwa sana ila sebule ni kubwa hivyo mwenye nyumba akaamua kutenga sehemu ambacho ameweka meza ya kulia chakula.
Muda niliofika haukuwa muda wa kula lakini nilichokikuta pale juu ya meza pana bakuli ya kuonyesha lenye mfuniko ndani lina maandazi, kuna chupa za chai na si moja, hotpot pia si moja, nikaona vijiko, kikopo cha sukari, sahani kadhaa kazibebeshea hapo mezani yaani kiufupi meza ilijaa.
Na hiki ndio kimefanya nije na huu uzi wakuu
- Je meza ya kulia chakula inapaswa kuwa vile muda wote?
- Kama sio inapaswa iwe na vitu gani ule muda ambao si wa watu kupata chakula?