Saafi!!
Sikutegemea Nadhani aidha wapinzani wenu ni makelele tu au Mkwassa ameiwezea timuHahahaa. Ahsante.
Duhh kweli tunatofautianaKwangu Kwenye hako kadude muda mwingi utakuta sahani , visosi, vijiko , toothpick, blueband, kokoa, sometimes tea bags, Nido, asali n.k
Mezani lazima kunakua na jagi la maji
Vingine inategemea na mlo wenyewe
Cc Smart911 View attachment 1320423
Sent using Jamii Forums mobile app
Jikoni kwangu Kwenye sink hakuna kitu zaidi ya kuweka vyombo vilivyotoka kuliwa katikati ya sink, juu ya sink pako plain..Duhh kweli tunatofautiana
cha kupangia sahani kwenye sink jikoni kipo dinning table?..
for me mezani kuna
Kitambaa plain then table runner katikati na plate mats
Then vase ya ua katikati na kitray kidogo kwa ajili ya toothpick,chumvi sukari nk
Jagi la maji na glass moja inategemea na wakati
Mda mwingi meza iko free hadi mda wa chakula tu
Ni kweli kabisaJikoni kwangu Kwenye sink hakuna kitu zaidi ya kuweka vyombo vilivyotoka kuliwa katikati ya sink, juu ya sink pako plain..
Kila mmoja na mpangilio wake
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa
ukisuuza vyombo unaviweka wapi ili vikauke kwanza?,
Kuna mtu naona kwenye meza yake kaweka Ilani ya Chama
Mh mjumbe naomba unifanyie delivery ya mahanjumati hapoHapa ndipo mezani kwangu, lakini ni meza ya sokoniView attachment 1326467
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndipo mezani kwangu, lakini ni meza ya sokoniView attachment 1326467
Sent using Jamii Forums mobile app
Oh okay...Vikishaoshwa vinafutwa na kupangwa kwenye vikabati mbali mbali kulingana na dizain ya vyombo mahotpot na kikabati chake. .sahani za udongo kwake n.k
Kwa dizain ya nyumba yangu ilivo hivo vikabati vipo jikoni nyumba kubwa ukutani kwa juu fulani
Japo muda wa Kula mara nyingi ndio hutoa sahani n.k na kuweka kwenye hako kadude ambacho kwangu muda wote kinakua hapo na vikopo kopo vya chumvi blueband n.k kama ulivoona.
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hako kadude Vinatosha kweli mamy au familia yako ni ndogo ya watu wawili watatu? Au kwenye sink umevipanga zaidi ya kimoja? ?mimi naoishi nao kilasiku ni ndugu wengi yani watoto wakiosha vyombo mama ntilie akasome!Oh okay...
mie nikiosha naviweka hapo kwanza vikauke
Ndo mana nlistaajabu kidogo kuona kifaa hicho kiko dining table
Ofcz tuko wachacheKwenye hako kadude Vinatosha kweli mamy au familia yako ni ndogo ya watu wawili watatu? Au kwenye sink umevipanga zaidi ya kimoja? ?mimi naoishi nao kilasiku ni ndugu wengi yani watoto wakiosha vyombo mama ntilie akasome!
Ila nimeona hapo wajumbe wengi wameshauri meza ya dinning kuwa na kitambaa na ua tu pia ni vizuri
Cc Smart911. .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii meza inatamanishaaHapa ndipo mezani kwangu, lakini ni meza ya sokoniView attachment 1326467
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh. Hii nayo ni point Mkuu. 🙏🙏Sio familia zote zinakutanika mda wa kula mama anakula saa saba watoto wanatoka shule saa tisa baba anarudi saa 12 sio kila mmoja akija anaanza kukimbizana nama bakuli njia nzuri nikuweka mezani kila mtu kwa mda wake akija anajisevia iko hivyo ila inatrgemeana na sebule yako umeipangaje usije weka ivyo vitu kwenye meza yako uloiweka katikati ya sebule na makochi