Cute Msangi
Member
- Apr 11, 2023
- 79
- 221
Tokea nikiwa mdogo nilikuwa sio mpenzi wa kula na kunywa vitu hivi na mpaka nimekuwa nimekuwa na allergies navyo havinidhuru Ila sipendi kula
*Maziwa ya ng'ombe
*Mayai
*Nyama ya kuku,mbuzi,ngombe nakula kidogo Sana napenda utumbo
*Chapati
*Chakula chochote au mboga yeyote yenye mchuzi,mfano lost ya nyama nk
*Tambi
*Chipsi
*Soda na juice za madukani
*Keki
*Sambusa napenda Nile viazi au viungo vya ndani
Maandazi nakula tu Ile ngozi ya nje iliyoiva Basi watu wananishangaaga Sana.
*Vitunguu maji vilivyoiva vikiwa kwenye mboga nikioviona tu hamu ya kula inaisha.
*Samaki
*Dagaa
Nimekuwa napata tabu Sana nikiwa ugenini kula vyakula vyao muda mwingine najilazimisha tu siunajua ugenini uwezi kuforce unachotaka.
Je hii ni Hali ya kawaida kutopenda kula na kunywa vitu vitamu.
*Maziwa ya ng'ombe
*Mayai
*Nyama ya kuku,mbuzi,ngombe nakula kidogo Sana napenda utumbo
*Chapati
*Chakula chochote au mboga yeyote yenye mchuzi,mfano lost ya nyama nk
*Tambi
*Chipsi
*Soda na juice za madukani
*Keki
*Sambusa napenda Nile viazi au viungo vya ndani
Maandazi nakula tu Ile ngozi ya nje iliyoiva Basi watu wananishangaaga Sana.
*Vitunguu maji vilivyoiva vikiwa kwenye mboga nikioviona tu hamu ya kula inaisha.
*Samaki
*Dagaa
Nimekuwa napata tabu Sana nikiwa ugenini kula vyakula vyao muda mwingine najilazimisha tu siunajua ugenini uwezi kuforce unachotaka.
Je hii ni Hali ya kawaida kutopenda kula na kunywa vitu vitamu.