Je, umeweka vitu gani juu ya meza yako ya kulia chakula (dining table)?

Hivo Vikabati vinakuaje ma mdogo? Naomba Walau nione kwa picha tu
Vikishaoshwa vinafutwa na kupangwa kwenye vikabati mbali mbali kulingana na dizain ya vyombo mahotpot na kikabati chake. .sahani za udongo kwake n.k
Kwa dizain ya nyumba yangu ilivo hivo vikabati vipo jikoni nyumba kubwa ukutani kwa juu fulani

Japo muda wa Kula mara nyingi ndio hutoa sahani n.k na kuweka kwenye hako kadude ambacho kwangu muda wote kinakua hapo na vikopo kopo vya chumvi blueband n.k kama ulivoona.


Cc Smart911

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwangu viko kama hivi
Hivo Vikabati vinakuaje ma mdogo? Naomba Walau nione kwa picha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Cc Smart911
20200120_155108.jpeg
20200120_155024.jpeg
20200120_155137.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom