Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Nitafuata Sheria zako boss, Je ilikuwa rahisi kufanya yote hayo.??

Sent using Jamii Forums mobile app
Haikua rahisi kufanya yote hayo Mara moja kwani sababu kosa ambalo linapelekea mpaka kufanya hayo ni kosa moja ambalo linajirudia.
Kwa hiyo sio rahisi kufanya yote hayo kwa maana wanawake kila siku anavyohitaji kuvaa nguo mpya na makosa mapya anaanzisha.
Ukimuhukumu kwa kosa jipya itakua umemuonea kwa maana sifa ya mwanamke ni kuongeza maneno mengi ambayo kwa siku anaongea maneno 24000 na katika hayo 18000 ni ujinga mtupu 6000 ndio bora.Mwanaume kwa siku anaongea Mara 6000 na katika hayo maneno hakuna lililo la kijinga.
Kwa hiyo kama kosa lake linakua sio jipya limo katika 18000 basi endelea kua mvumilivu.
Akianza kurudia Yale Yale sasa anza kuhesabu yakitimia pigia mistari Kisha jibu lake ndio liwe kumtimua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi kipigo ni sawa tu kwake maana hakuna namna.
Ikiwa Mara kwa Mara huwa wanaweka rekodi siku ukimwambia Leo utanitambua basi kumbe yeye idadi ya kupigwa aliokua anaisubiri itimie ilkawa ishatimia ukirudi utakuta watototu yeye kishaondoka kwao.
Ukienda kumfuata unakutana na rekodi ulizokua ukimpiga kidogo kidogo. Akiulizwa na wazazi wake "unasemaje mama mmeo kakufuata jibu ni hilo
Wazazi wangu mi sirudi kwake ataja niua huyu.
Akiulizwa mbona kukosana ni kwa kawaida? Kwani hua hausikii jirani zako wakigombana? Anajibu yaani toka kanioa sijawahi kusikia kwa jirani mke akilia kwa kupigwa Hua nasikia watototu
Ikifikia hivyo ushapoteza mke hata akirudi anakuja na rekodi ya kupigwa. Ikiwa upo kazini huku nyuma hata aongezewe kibaba cha ziada kwa mangi Dukani basi huyo atamuona mpole ' yani ananiongeza hata hanijui je angekua mwanaume wangu so ningenufaika nae sana huyu.
Hapo dharau zitazidi kuliko ilivyokua huku mangi akitegwa kimahaba akiingiatu basi umelia
Hapo utakua wewe ndio mhudumia watoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka miwili namwambiaga tu ata kama umechafukwa usiongee sana,ongea kidogo tu nyamaza,hiyo siku hataisahau nilidisconect waya, kesho yake kilikuwa kikao kikubwa tu. Sifikir kurudia tena, lakini huwa inatokea gafla sana,ndani ya sekunde 60 yameharibika.
 
Back
Top Bottom