Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Ndio nilishawahi kumpiga mkewangu na hatua hiyo ilikua ni hatua ya Tatu ya kumchukulia hatua.
Ninasema hatua hiyo ni ya Tatu kwa maana katika kutoa Onyo ziko hatua 3 katika ngazi ya familia
1 Hatua ya kwanza kumuonya kwa njia ya majadiliano na kumwachia nafasi ya kujitetea.
2. Hatua ya Pili ni kumuonya kwa kumfokea Pasipo kumwachia nafasi ya yeye kujitetea(Kukasirika kupita kiasi)
3 Kumuonya kwa kumpiga na kumpa nafasi ya kujitetea
4 Kumwacha na kumpa stahiki zake mlizohangaika kutafuta mkiwa wote.
Na Mimi baada ya kumpiga! Na alipokua akiendelea na tabia ambazo zilizokua hazikubaliki ndani ya mlango wa serikali yangu hatua nilioichukua ya kumaliza tatizo ilikua ni kumwacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitafuata Sheria zako boss, Je ilikuwa rahisi kufanya yote hayo.??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahi kwenye uzi unaukuuliza "unakuwaje comfortable na Mwanamke anayevaa wigi"

Maana uzi ulifunguliwa 15:00 hrs lkn ss hv ushafika 200 na uchee hv[emoji847]

Sent using Jamii Forums mobile app
hahahah nina kazi man, yani nilitakiwa niianze toka saa10 jf inanitia uvivu acha tu! Nitarudi lakini!
 
Back
Top Bottom