Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,229
- 44,239
Aina bora kabisa sifa zakeUnaweza kushauri hapa aina bora kabisa ya tv pamoja nadetail zake inazotakiwa kuwanazo ili kama mtu mfuko wake uko vizur achukue
-inakuwa na Kioo cha Oled ama micro Led (na baadhi ya Qled)
-resolution ya ultra HD (wengine wanaita 4k)
-kioo kinakuwa na rangi angalau Bilioni 1 ikiwa na Technology kama HDR 10 ama Dolby Vision
Mfano wa hizo
TV ni kama hizi LG cx series.
BEI zina range milioni 3 mpaka 7 hivi.