Likwanda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 3,926
- 1,160
Boss kama unahitaji nchi 43 mimi ninayo Smart nicheki Dm tuongee biashara.Hii tv ni brand ya sharp ni smart tv ubora wake hua sion wa kulinganisha ni nzuri sana na niliipata mtumba zanzibar, inanikosha sana sema rimoti yake ndio nimekosa laiti ningekua nauwezo wa kupata 43 ya hii tv hakika nisingenunua tv tena. Ina vineno harmn kadon pemben kwa juuView attachment 1637815