Mkuu!! Wewe kama moyo wako, na bajeti yako vimeshabihiana nunua unachoona!! Kwa mtazamo wangu kwa products za china vifaa vya hisense, vina ubora mzuri, kwwnye upande wa tv bwana sometimes ni kujiripua tu, na kubahatisha, kuna jamaa yangu ana hisense smart tv huu ni mwaka wa tatu inapiga kazi vizuri tu, kuna mwingine alimcheka akanunua sumsung og!! Miezi sita tu haikuisha tatizo kioo, kikaanza kutoa mstari sasa alishatupa tu!! Kwani haionyeshi tena!!! Na wanapokuambia eti ina warranty ni usanii tu!! Subiria iharibike ndio utaona kumbe bongo hakuna mambo ya warranty!!