Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,192
- 20,366
Wivu utakuuahana sifa, aache kwanza agenda zake za siri, vile vile hatuwezi kua na Rais ambaye ni mgonjwa...sisi wenyewe wagonjwa tutaongozwaje na mgonjwa mwenzetu
Wivu utakuuahana sifa, aache kwanza agenda zake za siri, vile vile hatuwezi kua na Rais ambaye ni mgonjwa...sisi wenyewe wagonjwa tutaongozwaje na mgonjwa mwenzetu
Wivu utakuua
Mbona tunaongozwa na mwanamke?hana sifa, aache kwanza agenda zake za siri, vile vile hatuwezi kua na Rais ambaye ni mgonjwa...sisi wenyewe wagonjwa tutaongozwaje na mgonjwa mwenzetu
hapo pia ni sawa na konda kashikilia husukani, na hatujui gari itafika kwa matokeo ganiMbona tunaongozwa na mwanamke?
Ana sifa zote za uongozi. Kaa na wivu wako hivyp hivyosio kila apiganiaye haki basi huweza kuongoza
Kivipi?Mbona ameidharau Katiba iliyomweka madarakani?
Yaani hivi vitu ulivyotaja hapa viongozi wengi wa kiafrika wamefeli kuvifanya, na hawawezi, hata walio nje ya system wakipewa hawawezi kuvifanya. Kwa kifupi Afrika ipo kwenye mkwamo mkubwa. Na inaweza kuchukua hata karne kutoka hapa tulipo kwenye mkwamo.Kuacha kutuambia atafanya nini juu ya wezi wa mali ya umma, maji, uchukuzi, elimu, ajira, umeme, gharama za maisha, chakula, hali ya hewa, masoko, mitaji, technolojia, nk.
Duh...!."By Lucas Mwanshambwa".
Tz kwa sasa , lazima badilisha , chama kinachounda serikali ili kuweza toka tulipo ,mfano Zambia mnaona jinsi nchi ilivyotulia ,Rais anajua kwa nini yuko pale, tabili uchwara sijui mwanamke tupa kuleWanazo zote na za ziada ndio maana uchaguzi wa mwaka tulimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Ila kwa uchaguzi wa 2025, niliwaomba Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! hivyo iwapo CCM itamsimamisha mgombea Mwanamke, TL asigombee maana itakuwa ni aibu kushindwa na Mwanamke!.
Unless kama sauti hii ni yake YEYE, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke then TL agombee, wapambane!.
P
kubadilisha chama na mgombea inafanana kabisa na kubadilisha walaji wapwa tu ila mwananchi atabaki palepale au atazidi kurudi nyuma zaidi. maTatizo yetu makubwa ni sio katiba Mpya, bali viongozi imara na waadilifu, mitaji, teknolojia, masoko huru kwa bidhaa zetu na mifumo mibaya ya dunia ya manunuzi. Yaani lazima uwe na dola ili upate bidhaa kama mafuta, mitumba, magari, matrekta, nk. Shida inakuja kwenye namna ya kuipata hiyo dolla.Yaani hivi vitu ulivyotaja hapa viongozi wengi wa kiafrika wamefeli kuvifanya, na hawawezi, hata walio nje ya system wakipewa hawawezi kuvifanya. Kwa kifupi Afrika ipo kwenye mkwamo mkubwa. Na inaweza kuchukua hata karne kutoka hapa tulipo kwenye mkwamo.
Yaani afrika Raisi hata akiwa na dhamira njema atashindwa tu kuleta maendeleo na kujenga nchi kwakuwa amezungukwa na ndugu, jamaa na marafiki ambao wanataka kunufaika kupitia taasisi ya uraisi. Watoto wa maraisi , wakwe , ndugu na jamaa wanataka kukwepa kodi kwa kupitia jina la Raisi. Yaani Afrika ina safari ndefu sana.
Rais ajae baada ya Samia 2025 ni Askofu Josephat Gwajima!Rais wa nchi yetu awe na sifa zipi?
Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
CCM msiangaike 2025 mpeni Askofu Josephat Gwajima!!Wanazo zote na za ziada ndio maana uchaguzi wa mwaka tulimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Ila kwa uchaguzi wa 2025, niliwaomba Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! hivyo iwapo CCM itamsimamisha mgombea Mwanamke, TL asigombee maana itakuwa ni aibu kushindwa na Mwanamke!.
Unless kama sauti hii ni yake YEYE, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke then TL agombee, wapambane!.
P
MaTatizo yetu makubwa ni sio katiba Mpya, bali viongozi imara na waadilifu, mitaji, teknolojia, masoko huru kwa bidhaa zetu na mifumo mibaya ya dunia ya manunuzi. Yaani lazima uwe na dola ili upate bidhaa kama mafuta, mitumba, magari, matrekta, nk. Shida inakuja kwenye namna ya kuipata hiyo dolla.
Anasema nini kuhusu haki za mashoga?Urais ndio kazi rahisi Sana Kama utateua watu wenye akili kwenye taasisi za serikali. Na Kama utazungukwa na washauri wenye Nia njema na nchi.
Idd Amin alishakua rais
Marcia's Nguema alikua rais
Kuku Gbendu WaZabanga Mobutu Sese Seko.
Tito Okello
Samwel Kanyon Doe alikuwaga rais.
Yule bwege shit aliyejipachika u emperor na hata hili jinga lililo oa kikongwe kule ufaransa Ni rais.
Tundu Lissu anasifa nzuri kuliko wote Hawa.