johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Najaribu tu kupitia sifa za uzalendo wa wanasiasa mbalimbali kwa nchi yetu.
Mh Tundu Lissu amewahi kutumikia Jeshi la Kujenga Taifa kwa mujibu wa Sheria au kwa kujitolea?
Nia ni njema kabisa.
Ramadhan Kareem!
Mh Tundu Lissu amewahi kutumikia Jeshi la Kujenga Taifa kwa mujibu wa Sheria au kwa kujitolea?
Nia ni njema kabisa.
Ramadhan Kareem!